Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
so far ManU =Carling Cup+Club World Cup ,then ongezea na Premier laegueChelsea = FA cup na CL
Man U = Premier legue
Arsenal na Liv trophyless again
so far ManU =Carling Cup+Club World Cup ,then ongezea na Premier laegueChelsea = FA cup na CL
Man U = Premier legue
Arsenal na Liv trophyless again
Una maana katika point 21 Man U ataambulia pointi 8 ? basi una msimamo mkali sana
Wakati huo huo Middles wana mechi moja tu ya kushinda dhidi ya Newcastle.
Sunday, 26 April 2009
Arsenal v Middlesbrough
Saturday, 02 May 2009
Middlesbrough v Man Utd
Monday, 11 May 2009
Newcastle v Middlesbrough
Saturday, 16 May 2009
Middlesbrough v Aston Villa
Hakuna namna ya kuwasaidia Hull.lazima washuke.Newcastle na Middles wanaweza wakabadilishana ila zaidi zaidi kiama kinawadondokea Newcastle.Kuhusu Chelsea kuwa bingwa mtakubaliana na mimi mwisho wa msimu,Man atamaliza nafasi ya tatu,na matokeo ya leo ni kama ifuatavyo
Man utd 1-1 Portsmouth
Chelsea 3-0 Everton.
Na safari ya Man utd Champions league inaishia kwa the gunners.
Ni mtazamo wangu,msipandishe sana jazba mashabiki wa Man utd.mtakubaliana na mimi baaada ya mechi za leo.
Kwa mahesabu kama Chelsea wakichukua ubingwa na ManU kushika nafasi ya 3 na West Bromwich hawatashuka darajaNajua rafiki yangu Belo anaweza asikubaliane na mtazamo wako; but ktk boli hilo linawezekana
Hakuna namna ya kuwasaidia Hull.lazima washuke.Newcastle na Middles wanaweza wakabadilishana ila zaidi zaidi kiama kinawadondokea Newcastle.Kuhusu Chelsea kuwa bingwa mtakubaliana na mimi mwisho wa msimu,Man atamaliza nafasi ya tatu,na matokeo ya leo ni kama ifuatavyo
Man utd 1-1 Portsmouth
Chelsea 3-0 Everton.Na safari ya Man utd Champions league inaishia kwa the gunners.
Ni mtazamo wangu,msipandishe sana jazba mashabiki wa Man utd.mtakubaliana na mimi baaada ya mechi za leo.
Kuhusu bingwa mtapiga kelele sana but bingwa ni MAN U
Kuna jamaa anaitwa MBU mbona simuoni huku, ameshakimbia?
Hii thread nadhani inastahili kufungwa kwa sasa hasa yakizingatiwa matokeo ya mechi za jana. Au mnaonaje wadau?
Premier
1. Liverpool
Champions League
Arsenal
FA
Chelsea
Sio mnajimu lakini nina asilimia 90 itatokea