Precision may not last long in the air, auditors now warn

Precision may not last long in the air, auditors now warn

Kwa Mimi abiria, bila kujali mambo ya ndani ya shirika, ni bora enzi zile shirika linaongozwa na mkenya kuliko sasa chini ya mtanzania Sauda Rajabu. Zamani huduma za ndani ya ndege zilikuwa bora Sana, wafanyakazi walikuwa na nidhamu, kulikuwa na urahisi wa kukata ticket online. Sasa hivi ni shida sana kukata ticket online kwa vile siku nyingine website haipatikani, siku nyingine wana-quote bei kwa dola, hawafanyi promotions, wafanyakazi wana viburi. Yaani shirika kwa sasa limekuwa la kibongo bongo zaidi. Alfonse Kioko alifanya makosa lakini huyu Saida Ni janga la kitaifa.

Nakuunga mkono asilimia 100, Kuna siku nilitoka mwanza na precision, ilikuwa kero coz wale ma air hostess walikuwa jeuri kupitiliza.
 
Ni kweli Kaka.Hata mimi niliandika analysis kwenye jukwaa la Uchumi na Biashara na ilichapishwa na The Citizen last year.Kulikua na Tatizo kwenye Leverage ,Business Diversification na Leasing huku unfair competition ikichukua center stage na Politics. Michael Shirima kwangu ni Senior wa Nyumbani kwetu.Asili ya Rombo-Kilimanjaro. Niliandika analytically bila kuwa biased!

Mkuu, wewe na watanzania wengine mnanishangaza sana, kweli kabisa unaamini kuwa KQ walinunua 49% shares kwa ajili ya kuua shirika!!? Seriously?

PW haikuwa competitor mkubwa wa KQ only kwa safari ya Nairobi ambayo players wakubwa wakati huo walikuwa ni ATCL na KQ, then kwa woga gani KQ wamwage mabilioni kununua shirika ili waliue wakati sio mshindani wao. Unatilia mashaka uwezo wa BoD wa KQ kwamba kwa ujinga wao waliruhusu such a dubious merge!? Mimi siamini hivyo, naamini kuwa kwa KQ, PW ndo ulikuwa strategic airline kuinunua kwa ajili ya kuingia soko la Tanzania na walifanikiwa vilivyo in terms of operations. Kwangu Mimi kama mteja mzuri enzi hizo naona makosa yao makubwa ilikuwa zile trip za Lubumbashi na Lusaka na ile ya Johannesburg ambayo ilikuwa usiku sana na hivyo ilikuwa na abiria wachache. Huwezi kulaumu ambition aliyokuwa mayo Alfonse Kioko kuanziaha hizo safari kwa vile CEO yoyote mzuri lazima aangalie expansion of operations. Tofauti na ma CEO watanzania wengi hawafanyi risky decisions kwa kuogopa kulaumiwa, na hii ni Kansa katika kila sekta ya nchi hii hadi huko kwenu kwenye siasa. Mtamlaumu Kioko but wengine tunampongeza kwa kujaribu ingawa haikulipa.

Sauda Rajabu aliingia kwa kulaumu kila kitu cha Kioko. Strategically soko la ndani la Tanzania kwa safari za Mwanza, KIA na Mbeya zinahitaji mid size aircraft kama Boeing 737 au Airbus A320, lakini Sauda alipoingia akaanza kwa kurudisha Boeing walizokodi akabakiza ATR peke yake ambazo abiria tunaziita Bajaj. ATR kwa Dar Mwanza ni saa mbili na dk 10, wakati ile Boeing yao ilikuwa saa moja na dk 10, tayari umetumbukiza saa nzima kwenye safari, nani anataka hivyo? Pili kuondoa Boeing kijinga jinga kukasababisha upungufu mkubwa, kukawa na delays haijapata kutokea, ndipo loyal customers kama Ulukolokwitanga walipojitoa kupanda ndege za PW na abiria wengine kibao. Pia PW tradition ya entertainment ndani ya ndege ikaondolewa kupunguza gharama, watu tulikuwa tunagonga hadi bia, tukaanza kupewa maji kwenye viglass vya plastic. Kingine Saida ameshindwa ni kuangalia soko linataka nini, ameshikilia ATR ambazo abiria hatuzipendi zinatuchelewesha, niache kupanda JET ya ATC unatumia fk 70 au Airbus ya Fastjet dakika 90 nikapanda ATR ya dk 130 tena kwa bei kubwa mno ukilinganisha na wengine, no way. Dhambi kubwa kabisa ya Sauda ni kutengeneza hesabu za uongo kuipatia kampuni hasara feki ili shareholders wasilipwe na kuihadaa serikali iwapatie ruzuku kubwa ya $30M, a Bernard Madoff kind of thing...

I like PW, naombea wabaki kutuhudumia, lakini nikiwa kama abiria naona kama wamejimaliza wenyewe, tusimsingizie mkenya.
 
Mkuu, wewe na watanzania wengine mnanishangaza sana, kweli kabisa unaamini kuwa KQ walinunua 49% shares kwa ajili ya kuua shirika!!? Seriously?

PW haikuwa competitor mkubwa wa KQ only kwa safari ya Nairobi ambayo players wakubwa wakati huo walikuwa ni ATCL na KQ, then kwa woga gani KQ wamwage mabilioni kununua shirika ili waliue wakati sio mshindani wao. Unatilia mashaka uwezo wa BoD wa KQ kwamba kwa ujinga wao waliruhusu such a dubious merge!? Mimi siamini hivyo, naamini kuwa kwa KQ, PW ndo ulikuwa strategic airline kuinunua kwa ajili ya kuingia soko la Tanzania na walifanikiwa vilivyo in terms of operations. Kwangu Mimi kama mteja mzuri enzi hizo naona makosa yao makubwa ilikuwa zile trip za Lubumbashi na Lusaka na ile ya Johannesburg ambayo ilikuwa usiku sana na hivyo ilikuwa na abiria wachache. Huwezi kulaumu ambition aliyokuwa mayo Alfonse Kioko kuanziaha hizo safari kwa vile CEO yoyote mzuri lazima aangalie expansion of operations. Tofauti na ma CEO watanzania wengi hawafanyi risky decisions kwa kuogopa kulaumiwa, na hii ni Kansa katika kila sekta ya nchi hii hadi huko kwenu kwenye siasa. Mtamlaumu Kioko but wengine tunampongeza kwa kujaribu ingawa haikulipa.

Sauda Rajabu aliingia kwa kulaumu kila kitu cha Kioko. Strategically soko la ndani la Tanzania kwa safari za Mwanza, KIA na Mbeya zinahitaji mid size aircraft kama Boeing 737 au Airbus A320, lakini Sauda alipoingia akaanza kwa kurudisha Boeing walizokodi akabakiza ATR peke yake ambazo abiria tunaziita Bajaj. ATR kwa Dar Mwanza ni saa mbili na dk 10, wakati ile Boeing yao ilikuwa saa moja na dk 10, tayari umetumbukiza saa nzima kwenye safari, nani anataka hivyo? Pili kuondoa Boeing kijinga jinga kukasababisha upungufu mkubwa, kukawa na delays haijapata kutokea, ndipo loyal customers kama Ulukolokwitanga walipojitoa kupanda ndege za PW na abiria wengine kibao. Pia PW tradition ya entertainment ndani ya ndege ikaondolewa kupunguza gharama, watu tulikuwa tunagonga hadi bia, tukaanza kupewa maji kwenye viglass vya plastic. Kingine Saida ameshindwa ni kuangalia soko linataka nini, ameshikilia ATR ambazo abiria hatuzipendi zinatuchelewesha, niache kupanda JET ya ATC unatumia fk 70 au Airbus ya Fastjet dakika 90 nikapanda ATR ya dk 130 tena kwa bei kubwa mno ukilinganisha na wengine, no way. Dhambi kubwa kabisa ya Sauda ni kutengeneza hesabu za uongo kuipatia kampuni hasara feki ili shareholders wasilipwe na kuihadaa serikali iwapatie ruzuku kubwa ya $30M, a Bernard Madoff kind of thing...

I like PW, naombea wabaki kutuhudumia, lakini nikiwa kama abiria naona kama wamejimaliza wenyewe, tusimsingizie mkenya.
Huo ndiyo ukweli wenyewe mkuu,zingine ni siasa tu!!
 
Wamekosea, wakijua kosa lao watakuja jju tena
 
Noo! Nilimaliza malipo ya booking ya wageni wangu 43 wanaokuja August na nilfinaliye jana JRO-ZNZ-JRO, hell NOOO!
Kuhairishwa kwa safari au kukosekana Flight ni jambo la kawaida, jiandae kwa hilo!
 
Kwa Mimi abiria, bila kujali mambo ya ndani ya shirika, ni bora enzi zile shirika linaongozwa na mkenya kuliko sasa chini ya mtanzania Sauda Rajabu. Zamani huduma za ndani ya ndege zilikuwa bora Sana, wafanyakazi walikuwa na nidhamu, kulikuwa na urahisi wa kukata ticket online. Sasa hivi ni shida sana kukata ticket online kwa vile siku nyingine website haipatikani, siku nyingine wana-quote bei kwa dola, hawafanyi promotions, wafanyakazi wana viburi. Yaani shirika kwa sasa limekuwa la kibongo bongo zaidi. Alfonse Kioko alifanya makosa lakini huyu Saida Ni janga la kitaifa.

mkuu kwa uhakika kabisa sauda ni mkenya pia, au labda ulikuwa unamaanisha nn?
 
Wachaga watu wabaya sana, walihusika kuiua Air Tanzania na kuanzisha kampuni yao ya Precision Air.

Acha wivu ww mbaguzi. Walihusika vipi? Kila kukicha wachaga wachaga ..... kwenye vibaraza vya kahawa
 
mimi mwenyewe!mwanahisa.unataka na picha?

ujue kama wewe ni mwanahisa, kampuni ikifilisika ndio imekula kwako huna kitu hapo!! Mali za kampuni iliyofilisiwa zikiuzwa watu wa kwanza kulipwa ni creditors na nyie mlionunua hisa mnalipwa wa mwisho!!! Sasa unajua Precision magnitude ya madeni yake mpaka na nyie mje kuambulia? Kama unavyosema ni kweli anza kuangua kilio!!!
 
Ni kweli Kaka.Hata mimi niliandika analysis kwenye jukwaa la Uchumi na Biashara na ilichapishwa na The Citizen last year.Kulikua na Tatizo kwenye Leverage ,Business Diversification na Leasing huku unfair competition ikichukua center stage na Politics. Michael Shirima kwangu ni Senior wa Nyumbani kwetu.Asili ya Rombo-Kilimanjaro. Niliandika analytically bila kuwa biased!

Ben, I agree you wrote analytically but short of empirical examples to cement your justification. Aviation industry unique unlike other business. Mnaweza kuandika mnavyofikiria au kuamnishwa lakini manatakiwa kwenda mbele zaidi. We need to widen the scope and look at other factors. Kwa mfano kuna kukosa uzalendo kunakoikumba Tanzania kwa kasi ya ajabu na kunachangia kwenye sabotage. Kuna watu wakati wa IPO walikataa kununua hisa kisa kwa sababu ati kampuni ya Mchagga. Angalia kampuni iliyoanzishwa kwa uzalendo mkubwa na mzee mzalendo kati wa wazalendo tuliokuwa nao, mcha Mungu asiyekuwa na chembe ya shaka na kampuni ikawa flag bear wakati ATC inachecehemea. Lakini uliza mamlaka zilizopo (TAA, TCAA, TRA) zinaisaidiaje? Haya ni mambo ya kuangalia.
 
Nimesafiri kwa precision siku chache zilizopita na kwa hakika kuna kila dalili siku za uhai wake zinaelekea ukingoni. la kujiuliza ni nani atapoteza zaidi kwa kutoweka kwa shirika hili nchini, je ni shareholders pekee??
 
MD wa sasa wa precision huyo mmama nae ni mkenya pia, na ametokea KQ.
 
mkuu kwa uhakika kabisa sauda ni mkenya pia, au labda ulikuwa unamaanisha nn?

Najua kuwa ni graduate wa University of Nairobi na alitokea KQ. Not sure kama ni mkenge au mbongo,,,

Watu wanamponda Kioko kwa sababu ya ukenya wake.
 
Back
Top Bottom