Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Kuna tetesi kuwa kampuni ya Precision Air itafilisiwa rasmi mwezi huu na wale wanahisa kupewa chao.
Wanahisa wapewe chao? Mkuu hicho chao kitatoka wapi? Hata kama watapata basi itakuwa ni kiduchu manake hadi kampuni ifike kufilisiwa ujue wanahisa wameliwa.
Hapa watu wa Mamlaka ya Soko la Mitaji wana cha kutujibu. Haiwezekani kampuni ikaruhusiwa ku float share (IPO) na kuanza kuziuza kwenye soko kisha baada ya miaka 2 tu ifilisiwe!!! Due diligence haikufanyika vizuri.