Precision may not last long in the air, auditors now warn

Precision may not last long in the air, auditors now warn

Tunadharau watanzania wenzetu kwa kila kona. precission walijitakia msiba wao wenyewe. hivi kweli nchi kama kenya ambayo inashirika lake KQ ambao in general wahaitakii mema tz unaenda kuchukua mtu huko kujakuwa CEO wa PAA?

mbali na hapo kulikuwa na umuhimu gani wa kuungana na KQ? Pia mtu anawezaje kukodi ndege halafu mnaambiwa zimenunuliwa mnakubali na mnashindwa kujua kwa muda wote huo. halafu inaonekana hata wakurugenzi nyeti wote walikuwa ni wakenya na walikuwa kundi moja kwani haingii akilini madudu yote hayo yafanyike bila kujulikana kwa muda mrefu hivyo

Kenyans have seen opportunities of higher positions in TZ Coy and they are keen for It,and we praised them as smart managers!!!!!
 
This information could be disguised furnish the two audited balance sheets as at end of 2012 and 2013 for us to analyze them it could be are playing foul game.
 
PAA wamevuna walichopanda maana waliungana na giant competitor wao.Amejua siri zao amewamaliza
 
PAA wamevuna walichopanda maana waliungana na giant competitor wao.Amejua siri zao amewamaliza

10250226_1456370191266113_3583066232398540083_n.jpg


10006939_1453869301516202_874175013_n.jpg
 
Kenyans have seen opportunities of higher positions in TZ Coy and they are keen for It,and we praised them as smart managers!!!!!
Ex-Precision Air CEO builds hotel in Machakos
BY Philip Mwakio Updated Sunday, November 2nd 2014 at 00:00 GMT +3
airceo0211.jpg

Gelian Hotel nearing completion in Machakos town.

Read more at: Standard Digital News : : Business - Ex-Precision Air CEO builds hotel in Machakos

Nairobi; Kenya: In what could be the first ever five star hotel in Machakos town will open its doors to the public in early December. Former Precision Air Chief Executive Officer Alphonse Kioko is the man behind the new hotel project set to change the skyline over the fast growing Machakos town. Kenya Commercial Bank (KCB) is is the mortgage provider for the venture that has five other shareholders. Accommodation in Machakos town has remained a challenge even as the town which is headquarters for Machakos County, continues to expand. "Whenever there are major events within the county, there is rush for the few available spaces in town with some forced to seek accommodation in far locations like Masii, about 15 kilometres away," Mr Kioko said.

He said with the new facility named Gelian Hotel, which has about 100 rooms, the problem of lack of adequate accommodation will be resolved. "The timing is perfect given the upcoming festive season and especially the extravaganza planned for towards end of the year," he added. The hotel is 45 minutes drive away from Nairobi, eight minutes from Kyamwilu site commonly know as ‘Zero gravity'. This is a tourist attraction area where nature defies gravity and water flows upstream. It is also 15 minutes from wood carving centre of Wamunyu. In an interview with Weekend Business, Kioko said the hotel is a community facility that will act as a central point of civil hospitality. "This great structure build to keen details and mindful of the awful depression that had settled over the nation's hospitality industry is a clear manifestation of our confidence to invest in destination Kenya,"' he said. He added that the establishment of the hotel will create hundreds of jobs. In total, there are 95 rooms which include two presidential suites, four ambassadorial, 36 deluxe and 53 standard rooms.

Gelian Hotel nearing completion in Machakos town. [Photo: Courtesy] Nairobi; Kenya: In what could be the first ever five star hotel in Machakos town will open its doors to the public in early December. Former Precision Air Chief Executive Officer Alphonse Kioko is the man behind the new hotel project set to change the skyline over the fast growing Machakos town. Kenya Commercial Bank (KCB) is is the mortgage provider for the venture that has five other shareholders. Accommodation in Machakos town has remained a challenge even as the town which is headquarters for Machakos County, continues to expand. "Whenever there are major events within the county, there is rush for the few available spaces in town with some forced to seek accommodation in far locations like Masii, about 15 kilometres away," Mr Kioko said.
 
Maskini Michael Ngaleku, akiisoma hii atachanganyikiwa
 
Maskini Michael Ngaleku, akiisoma hii atachanganyikiwa
Ndiye nani mkuu.
Katika mashirika yaliyodumu muda mrefu PW wamejitahidi. Hapa tuangalie vitu kama community airline, badala ya kujutia mimi naona ni muda wa kujitazama upya regardless how much loss and negligence have endured.

 
Ndiye nani mkuu.
Katika mashirika yaliyodumu muda mrefu PW wamejitahidi. Hapa tuangalie vitu kama community airline, badala ya kujutia mimi naona ni muda wa kujitazama upya regardless how much loss and negligence have endured.


Mmiliki, anaitwa Michael Ngaleku Shirima
 
Mmiliki, anaitwa Michael Ngaleku Shirima
Hiyo Ngaleku sikuwa naijua. Unajua risks za investments zinatofautiana kutoka eneo na eneo. Kwa mazingira ya Kitanzania ya ufisadi na unafiki huyu mzee anafaa sana badala ya wale wanaohamisha na kuficha pesa nje.

 
Back
Top Bottom