Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Pole sana Shirima kama ni kweli. Kuna wakati nilisema hapa kuwa kosa kubwa alilofanya Shirima ni kuajiri CO kutoka Kenya!!!!!! Mkenya alikamilisha kazi ya kuia Precision Air ambayo ilikua imepata kasi kubwa hadi kuogopesha Kenya Airways. Wakaitumia Precision kama daladala la kupeleka abiria Kenya kupanda international flights maana it was costly KQ ku operate from KIA or JIA. Alipoona amekamilisha kazi ya kuiua Precision basi CO mkenya akaomba ku resign.!!!! Hiyo ndiyo Kenya na tunakimbilia Federation!!! We are insane!!!