Precision Air yapata ugonjwa wa ATCL

Mshiiri

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
2,012
508
Precision Air ilitakiwa kuwa Arusha Airport saa tisa na robo na mpaka sasa ni saa kumi na mbili na nusu naambiwa haijafika na wasafiri hawana taarifa yoyote na wala msaada kwa kuwa hawana 24hrs customer help centre. They are doomed!
 
Passengers still stranded without any information ans since Arusha Airport is not an International Airport landing or taking off after 6pm is not allowed. Sas sijui they will take them to JRO ama vipi BUT they doomed.
 
My concern: How about those guys with a connection flight early morning tomorrow in DAR. This is really deep sh-t
 
Msishangae, utendaji wa PW hauna tija toka PESA MBILI apate matatizo!! Alipokuwa na ujiko walishamili kwa yeye kutumia ofisi kuihujumu ATCL; ukweli ndio huo wadanganyika!!
 
Msishangae, utendaji wa PW hauna tija toka PESA MBILI apate matatizo!! Alipokuwa na ujiko walishamili kwa yeye kutumia ofisi kuihujumu ATCL; ukweli ndio huo wadanganyika!!
Duh yaani umesema ukweli kabisa. Kampuni yetu ilihujumiwa na viongozi wetu.
 
Jamani lazima tukubali kuwa PW is still a small airline company, tunaweza kuiweka pamoja na Zanair, Costal au ATCL. Wana matatizo yao, lakini katika mashirika yote ya ndege yaliyopo TZ, PW ndiyo naweza kusema angalau wana nafuu. Tatizo lililopo ni kuwa Precision hawajaweza kuwa na mfumo mzuri wa mawasiliano, so inapotokea kuna delays, unless uko Dar other airports huwa ni vigumu sana updates. Hata mimi nimewahi kukwama Arusha, tulitakiwa tuondoke mchana saa saba, tuliishia kwenda KIA. Its frustrating but believe me its much better than all other airlines in TZ.
 
bnhai ,

Kwa heshma, nadhani kulaumu PESA MBILI kwa kukwama kwa ATCL is being unfair.

Tanzania na watu wake ni lazima tukubali kwamba ATCL waliboronga tangu mwanzo. Waliponzwa na SAA; wakapewa mabilioni na J.K. yakazama. Wamekosa proper management na Serikali imeishiwa mtaji.

Kama kuna wanaoomba Mungu kwamba PW nao wakwame, basi hawaonei huruma wale WaTz wanaotoa huduma kwa kufanya safari za haraka kwa ndege.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Businessman mmoja kanipigia simu baada ya kusoma michango ya WanaJF hapo juu akaniambia "Utamaduni wa J.K. wa kurundika mabilioni katika majalala ya Matakataka yaliodhihirisha incompetence, utakwamisha sio ATCL peke yake, bali uchumi wa Tanzania kwa jumla".

Ndugu zangu WanaJF, take note.
 
bnhai ,

Kwa heshma, nadhani kulaumu PESA MBILI kwa kukwama kwa ATCL is being unfair.

Tanzania na watu wake ni lazima tukubali kwamba ATCL waliboronga tangu mwanzo. Waliponzwa na SAA; wakapewa mabilioni na J.K. yakazama. Wamekosa proper management na Serikali imeishiwa mtaji.

Kama kuna wanaoomba Mungu kwamba PW nao wakwame, basi hawaonei huruma wale WaTz wanaotoa huduma kwa kufanya safari za haraka kwa ndege.

Mungu Ibariki Tanzania.

Ndugu yangu yale mambo yote ya mkataba na SAA ni huyu huyu BASIL PESA MBILI MRAMBA NA MKAPA walipigia chapuo ili wavune. Kama unakumbukumbu nzuri management ya ATC waligoma isibinafisishwe lakini kwa rungu la mkapa na wenzake, kwanza wakamwondoa mkurugenzi wa wakati huo tena kwa kumfukuza eti kaingiza hasara, baada ya muda mfupi, katibu wa shirika wakati huo (Mwanasheria, Audax Tibaizuka) alianza kujengewa zengwe ili naye afukuzwe lakini akawa makini akajiuzuru mapema.

Hawakuridhika mafisadi, bado waka mfuatilia na kumpa masaa 24 awe amehama nyumba ya shirika pale masaki. Alipo hama bado wakamkamata eti anatuhumiwa kugushi shs. laki tano, akawekwa rumande for 1 day ndo akadhaminiwa.

Lakini yote yale ni kuuhadaa umma ijulikane kwamba shirika lina matatizo ili waliingize kwenye mkenge wa SAA. Leo yako wapi mafanikio?? mbona mkapa mwenyewe kakaa kimya anaona aibu tu na wizi wa mali ya umma. Kuna mtu anaitwa balozi Sykes, sijui kama yuko hai, huyu kachangia sana kuiua ATC.

Precision air nao walisha ambiwa shirika/kampuni yao bado ni dogo kwa hiyo wasijiingize kwenye mkataba na Kenya Airwyas, ndege zao zita choka haraka na hawata pata faida kubwa. KQ nia yao ni kuondoa ushindani wa PW na ikisha kufa KQ itachukua route zao. Sijui kama waliufanyia kazi ushauri huo.
 
Businessman mmoja kanipigia simu baada ya kusoma michango ya WanaJF hapo juu akaniambia "Utamaduni wa J.K. wa kurundika mabilioni katika majalala ya Matakataka yaliodhihirisha incompetence, utakwamisha sio ATCL peke yake, bali uchumi wa Tanzania kwa jumla".

Ndugu zangu WanaJF, take note.

JK hawezi kulaumiwa, yeye anajaribu kusaidia lakini tatizo lake ni kama haoni. Watu wote anaowapa haya mashirika ni wale waliokubuhu kwa rushwa na maslahi binafsi. Wengine hata humu JF tunakuwa tumewaelezea kwa urefu udhaifu wao lakini utashangaa watu hao hao wanateuliwa.

Mtu kama Mattaka, JF imemshauri rais kwa kutoa udhaifu wa huyu jamaa lakini all of suden, jamaa akamteua, hii nayo inaleta shida. Huwezi kuleta ufanisi kwa kupeleka pesa ktk shirika lakini ukaacha watu wale wale wezi, wazinzi, wenye vyeti feki n.k.
 
Hawa PW wako hivyo siku nyingi, tangia ATCL ilipodorora wamepata jeuri ya monopoly na siku hizi hawajali wateja.

Walikuwa wameamshwa usingizini ilipokuja Community Airlines mara ya kwanza lakini baadhi ya viongozi serikalini wenye interst katika PW wakaipunguza makali Community na kuwaachia ukiritimba wa soko PW.

Hawa mie nasubiri wapate ushindani haitachukua muda tutasikia wamefulia.
 
Businessman mmoja kanipigia simu baada ya kusoma michango ya WanaJF hapo juu akaniambia "Utamaduni wa J.K. wa kurundika mabilioni katika majalala ya Matakataka yaliodhihirisha incompetence, utakwamisha sio ATCL peke yake, bali uchumi wa Tanzania kwa jumla".

Ndugu zangu WanaJF, take note.

This is very true kwa kweli. Tanzania nakusikitikia sana sana. Hizi 10 years (2005-2015) lazima zitaathiri vizazi kibao vijavyo. To be very honest hatuna serikali kwa sasa kwa maana ya utendaji wa kiserikali sio jina serikali, serikali inayojali wale walioiweka madarakani. Viongozi wanafanya mambo as if hawapo Tanzania na hawaoni maisha wanaoishi watanzania. So sorry kwa kweli.
 
Last edited:
JK hawezi kulaumiwa, yeye anajaribu kusaidia lakini tatizo lake ni kama haoni. Watu wote anaowapa haya mashirika ni wale waliokubuhu kwa rushwa na maslahi binafsi. Wengine hata humu JF tunakuwa tumewaelezea kwa urefu udhaifu wao lakini utashangaa watu hao hao wanateuliwa.

Magezi what do you mean here? Hutaki tumlaumu lakini unasema pia kwamba ndio yeye anayeweka hao wanaoua mashirika, yaani anaweka wauaji then tusimlaumu?? Then tuwalaumu hao wanaoua au? Lawama zote ni za kwake kwani ana kila kitu cha kumfanya awajuwe hao anaowaweka kuliko sisi wote lakini still anawaweka simply kwa sababu ni class mates zake au walichangia kumweka ikulu. Nimekuwa nikisema hili mara zote na sitachoka kulirudia, Rais Kikwete hii nchi si yako na marafiki zako na jamaa zako ni ya watanzania wote na Mungu anayaona unayotufanyia. I'm sure one day you will pay the price be it here or somewhere else.
 
Nilikuwa mmoja wa Abiria hiyo jana wakati tuliposikia toka kwenye vipaza sauti, dada mrembo akikisema`Goodafternoon Ladies &Gentlemen!

Tukapata matumaini kuwa huenda mambo yamekuwa sawa...aah wapi bana! mara akaanza kusema kuwa ...`we regret to inform you that... has been cancelled`!!!

Watu woote wakaguna na kumvaa Dispatcher aliyekuwa eneo la abiria, wakitaka maelezo yaliyonyooka.

Akaendelea mdada huyo kuwataarifu abiria kwamba watachukuliwa hadi hoteli ya Naura Springs iliyoko katikati ya mji wa Arusha , ili wakalale hadi kesho yake.

Kweli ilikuwa ni maumivu sana kwa connectors!
 
Last edited:
Kwa ujumla PW wanajitahidi..we give a credit where they deserve!

Wiki moja nilisafiri nao Dar- Nairobi na ndege yao mpya..safari ilikuwa tu Mswano!
 
Tunaweza kukosoa pale wanapo teleza lakini ukweli unabakia kuwa PW is the best airline kwa TZ for now wakuu!
 
Back
Top Bottom