HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,937
- 102,693
huwa najiuliza kwanini kila siku wao tu ndio mabingwa wa kucancel flight zao?
Je tuamini kuwa ni shibe?
Ila hawa jamaa kama ni ndege wanazo nyingi sasa inakuwaje wana cancel flight kwa muda mrefu sana hivyo wakati kila siku twasikia wameagiza ndege mpya kutoka France
Je tuamini kuwa hizo ndege wanazouziwa huwa ni mbovu maana haiwezekani juzi wameintro ndgee mpya leo ndege wanacancel.
Pia watanzania mnajiunga kwa kumsupport Fastjet ili huyu mtu aweke heshima
Je tuamini kuwa ni shibe?
Ila hawa jamaa kama ni ndege wanazo nyingi sasa inakuwaje wana cancel flight kwa muda mrefu sana hivyo wakati kila siku twasikia wameagiza ndege mpya kutoka France
Je tuamini kuwa hizo ndege wanazouziwa huwa ni mbovu maana haiwezekani juzi wameintro ndgee mpya leo ndege wanacancel.
Pia watanzania mnajiunga kwa kumsupport Fastjet ili huyu mtu aweke heshima