Precision Air mmezidi

Precision Air mmezidi

Lazima kutakuwa na sababu ya msingi. Precisionair hawawezi kufanya upuuzi wa aina hiyo ambao ni dhahiri unaathiri biashara yao.
 
mbona hao abiria hawafiki 46? Kingine habari haijakamilika hebu wafuate na watu wa Precision wataeleza vizuri.
 
mbona hao abiria hawafiki 46? Kingine habari haijakamilika hebu wafuate na watu wa Precision wataeleza vizuri.

mleta uzi asingeweza kuwakusanya wote 46 ila amejitahidi sana,asingeweka picha mngeleta mzozo,sasa ameleta picha bado mnaleta mzozo,,,au huamin kama inaweza kuacha abiria 46?na angeleta picha ya pamoja ndo ungeamin?yupo ambaye angehoj umewapatahe hao 46 kwa pamoja,,,,ne naona habar inajitosheleza,je ungetangaziwa kwenye redio?
 
je amewahoji na wahusika ili kuelezea sababu za wao kuachwa? Bamwanasha
 
Last edited by a moderator:
ANSBERT nGURUMO, nimemsoma kwenye face book, naye amekwama julius nyerere airport! sijui hawa precision air wana nini,labda ni homa ya fast jet
 
Precision ndio zao,nimeapa sitapanda ngala ngala lao..itakua walichwa kwa sababu ndege ilijaa maana wanatabia kuuza ticket mara mbili
 
Mi nawachukia sana walishatutelekeza mwanza airport hawa,hawana maana.
 
Precision wamecancel kama kawaida ndege ya kwenda Mwanza saa tano leo hii tarehe 9.12.2012 mpaka saa tatu usiku.

Hawa jamaa wananikera sana sana sana. Kwa anayekwenda MWanza awe alerted.....
 
Precision wamecancel kama kawaida ndege ya kwenda Mwanza saa tano leo hii tarehe 9.12.2012 mpaka saa tatu usiku.

Hawa jamaa wananikera sana sana sana. Kwa anayekwenda MWanza awe alerted.....

Fast jet ipo unaenda PW kufanya nini......?
 
mbona hao abiria hawafiki 46? Kingine habari haijakamilika hebu wafuate na watu wa Precision wataeleza vizuri.

Hata kama abiria ni mmoja,hawana haki ya kumtelekeza kwa sababu kailipia hiyo huduma na unapomtelekeza ni lazima ufidie hasara atakazopata.
 
Mkuu Tigga Mumba, Pole

Hawa watu huwa nashindwa kuwaelewa, labda Precision airline staff ambao ni JF members watueleze nini hasa kinachofanya hii kutokea, kwa maana ukiongea na wakubwa wao wanatoa majibu mepesi, kuwa "aah, ni hitilafu ndogo ndogo tu inatokea, sometimes" sasa unajiuliza sometimes gani hii ambayo ni KILA SIKU!
Sidhani hata kama usafiri wa mabasi uko hivi, yaani ni zaidi ya kero.
 
Last edited by a moderator:
ilonga mimi niliuliza mbona hajawafuata watu wahusika yaani wa precision ili ajue sababu ya wao kuacha abiria?
Hakuna alie jibu hilo swali kuwa wao precision wamejibu nini kutokana na hicho na je watafanya nini kuwasaidia hao waliokuwa wameachwa?
News iko nusu imeegemea upande mmoja tu wa precision kuacha watu ila haina sababu kutoka precision kwann watu wameachwa hapo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom