mshana umenikumbusha kesi moja na lecturere wangu! ni mama mtu mzima sana kiumri, sasa kuna siku jamaa kaandika miss XXX, badala ya madama XXX! huyo lecturer alisala mpaka akamkata score kwenye assignment! dadeki..
sasa nikuulize swali, una uhakika gani kuwa
FaizaFoxy ni bidada ama bibibi? lol...