Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,941
- 1,011
hakuna dawa ya kupunguzia?
lakini kilo 9!!!!!!!!!!?,
wakati mwingine tunawalaum wachina lakini Mungu katupa utashi.
Awali jamaa alitakiwa apake kwa siku mbili, lakini aliponogewa na kuona amekuwa akaongeza zaidi, mambo yakawa mambo. Kwasasa jogoo ni mkubwa na ana uzito wa kilo tisa.
....
Ndo matokeo ya kumsahihisha MUNGU na uumbaji wake. Wanadamu tunapotoka!
huo mzigo wa kilo tisa sipati picha ...
Imeripotiwa katika Radio WAPO leo asubuhi, kipindi cha PATAPATA, kuwa kuna jamaa mmoja (mkazi wa Mbezi) aliyekuwa na tatizo la kuwa na jogoo mdogo hata kumfanya akimbiwe na wake zake watatu wa awali. Jamaa alipomuoa mke wa nne akapata ushauri toka kwa rafikiye wa kutumia hizo dawa za kichina za kuongeza ukubwa wa jogoo ili ainusuru ndoa yake ya sasa. Akanunua na kuanza kuitumia, mwanzoni ulipokuwa kidogo akajisikia raha. Akaamua kuendelea kupaka/kutumia, jogoo akaendelea kukua zaidi. Mkewe akaona loh! Makubwa haya! hawezi kuendelea tena kumhudumia jogoo mkubwa namna hiyo akabwaga manyanga.Na kurudi kwao.
Awali jamaa alitakiwa apake kwa siku mbili, lakini aliponogewa na kuona amekuwa akaongeza zaidi, mambo yakawa mambo. Kwasasa jogoo ni mkubwa na ana uzito wa kilo tisa.
Jamaa sasa ameacha kazi na hawezi kuvaa nguo.
Mheshimiwa anaomba msaada ili jogoo arudi kama awali.
Jamaani wachina hawa! Mara kukuza makulio, mara inakuza kalio moja tu, mara kusababaisha makalio kupasuka na sasa haya ....
afadhali na wanaume yawakute,mlitusakama sana na makalio yetu wanawake .. kwa kuwa amefikia kuwa na uume huo wa kilo hizo, ina maana hakuna mwanamke atakeyeweza ku-accommodate hiyo mzigo... so easy aanze ku-date punda, wao wanauzoefu wa shaft za uzito na ukubwa kama hiyo.... yuko wapi nimuunganishe na wafuga punda wa huko singida, may be he could buy one na amamfanya mke....
9kg? can we get a photo pls?
Carmel9kg? can we get a photo pls?
afadhali na wanaume yawakute,mlitusakama sana na makalio yetu wanawake .. kwa kuwa amefikia kuwa na uume huo wa kilo hizo, ina maana hakuna mwanamke atakeyeweza ku-accommodate hiyo mzigo... so easy aanze ku-date punda, wao wanauzoefu wa shaft za uzito na ukubwa kama hiyo.... yuko wapi nimuunganishe na wafuga punda wa huko singida, may be he could buy one na amamfanya mke....