PowerBreak Fast Clouds FM na CD ya Ngono

Nyegere ndani ya lile jumba zinawazidi kipimo! Huyo Bhoke mwenyewe mbona hatengenezeki? Khaa..!
 
Clouds ni redio ya majungu na fitina kwa hiyo wanapemnda biashara haramu ...usikute wanazo kibao akina kibonde wanazisambaza kwa nguvu na kupata mihela.............mapato yao mengi ni haramu kwa mfano rushwa za ngono kwa wasanii wa kike, rushwa za pesa kwa wasanii wa kiume (rejea wimbo wa sugu"anti-virus), pesa za epa kutoka ccm wakati wa uchaguzi................kifupi niliisha acha kuwasikiliza kwani ni kicheni part zaidi ya kujenga jamii.............
 
nakumbuka kuwekavideo yake alipokua anahojiwa..aisee kalisema hakajutiii yaani anachulia poa! abadilike coz hapa ni Tanzania and it will remain that
shaizaaaaaaaaaa
 
Hafai tena kuwa mtangazaji. labda abaki kuwa MC tu wa mtaani. Dogo anajifariji kwamba hakwenda kuiwakilisha Tanzania mbona alikuwa anaomba kura za Watanzania angeomba kura kwa familia yake basi instead ya kuleta ujinga!! Shame...
 
Back
Top Bottom