Tanzania1960
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 204
- 22
Naomba la moyoni niliweke hapa,mzee hebu mpe huyu kijana nafasi na sisi tuone mabadiliko mlangoni,nakwambia hutajuta kwa sababu hatakuangusha wewe wala watanzania kwa ujumla,hili ni ombi tuu kwa sababu wewe ndio mtu wa mwisho kuamua.Asante sana.