mooduke
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 628
- 111
Wana JF naomba kwa ajuaye aliko huyu mwanasiasa wa kitambo ni mmoja kati ya wazee wa CCM nilikuwa nikimfahamu toka akiwa mtangazaji pale RTD Pugu Road enzi zile na mpaka kuhamia kwenye siasa lakini sasa ni takriban miaka 15 na tano sijasikia habari zake na hajafa natumai yungali hai. Tafadhali mwenye habari zake anijuze waungwana.