Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Nyie wanafunzi mnamiliki simu? Mkija wa7mziache kwenu. Sawa!!!
 
TAMISEMI ndo wanashughulikia masuala ya selection na sio WIZARA, jamani TAMISEMI tuhurumieni vijana wenu 2mechoka kumaliza makochi nyumbani daa! pumbavu sana.
 
nyie kwel hamtak posti zenu mngekuwa mnataka mngefanya hiv "c kuna vipnd vya redio bac mnapiga cm then mnaxema shida zenu alaf baada ya cku moja au mbili znatoka coz waziri wa elimu ataulzwa na vyombo vya habar kuwa kunatatzo gan mpaka post zicheleweshwe". hahahahahahaha ni ujanja 2.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom