Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
leo ndio leo wakuu kutoa post lazima wale 2naoenda xhule za boys tupu tujiandae mapema manzi wako kamuage kwa mara ya mwisho
 
duuuu! 29 june till we ar waiting for post! it is a government buttarity juu yetu.they consider most themselves. yaan bungen baada ya kuongelea mambo ya kujenga taifa,kutafakal adha wazipatazo wananch ktk maaeneo yao.wanaanza kudskas mambo ya kifamilia ya SUGU kwan wazaz wao hawapo? time for changes has come.

da yaani me wameniboa sana kuzungumza mambo ya sugu bunge alaf ni mambo ya ki_familia kwani si kuna vitengo maalumu vinavyo husika yaani da wabunge sijui wana akili gan.???
 
nusu kwenye glas nusu bob male!!!!!!!!!
jomakin kagundua kua SIRI_KALI MBWA KOKO.
 
Post za upolisi zimetoka Leo. Ni kwa wanafunzi wote waliomaliza Mwaka Jana.
 
By yxtel:
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania***
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom