Disaba
Member
- Jun 16, 2015
- 34
- 18
Nimeamua kuingia humu ndani ili nitoe majibu ya maswali yenu.
kuhusiana na selection za kidato cha tano mwaka huu ni kweli zimechelewa ila hii inatokana na utaratibu mpya wa utoaji wa post hizo. ila nina penda kuwahakikishia ya kuwa mbaka tar 3 ya mwezi ujao selection zitakuwa zimesha tangazwa kwani walianza na kutoa majina ya wanafunzi kwa ajili ya usaili wa jeshi la polisi na ndio watoe post zenu.
think b4 falsify. all here we posses supple mind! u just make repetation on wat u lie to us!
u just pressuming! be heald in the name of jesus.