Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Kuna watu wanaboa humu kwa umbea wao kama hauna uhakika ni bora utulize kiherehere
 
Kwel vijana mmechoka kukaa kitaa
hasira za nini kila mmoja anajaribu kufanya prediction zake
tulien post zitatoka
 
Ole wa mtu alete unafiki wake huku ndo atajuta wanaume wanakuwa kama wanawake acheni hizo mambo hata mungu hapendi kumbukeni amri ya nane
 
iv watu wengne mnaotea kusema tyu kila day post znatoka leo,znatoka leo ili zkitoka kwel tuseme mna ndugu TAMISEMI au inakuwaje!!!!!!!!!!!!!! tumechoka bhana na taalifa zenu za kusadikika if u dnt knw the truth juxt kaa kimy kiroho saf mnaboaaaaa!!!!!!
 
haaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!! yaaani kama nawaona vile jinsi mlivyopandwa na midadi ya post
 
Post mbona hazitoki,
tamisemi hawaeleweki,
mixhe zao za kiwaki,
jaman ujinga staki,
ntapigania yangu haki,
nisepe shule minaki,
nisome hist na civc,
na mathe niiweke baki,

msione kama nimechanganyikiwa........ Najiliwaza hapa ili time isonge
.::::::::......from today na kuendelea
i'll be commenting rhymez 😀
 
humu JF weng wanakua kma standard 7 leavers hv! cvcs haijawastarabisha? kma hujui whats going on unashindwa ku_mute had kutoa credible taarifa? keep ur_self as educated man! nduguzangu any where NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEACH. nice tym watu wang wa nguvuuuuuu
 
Nimeamua kuingia humu ndani ili nitoe majibu ya maswali yenu.
kuhusiana na selection za kidato cha tano mwaka huu ni kweli zimechelewa ila hii inatokana na utaratibu mpya wa utoaji wa post hizo. ila nina penda kuwahakikishia ya kuwa mbaka tar 3 ya mwezi ujao selection zitakuwa zimesha tangazwa kwani walianza na kutoa majina ya wanafunzi kwa ajili ya usaili wa jeshi la polisi na ndio watoe post zenu.
 
Nimeamua kuingia humu ndani ili nitoe majibu ya maswali yenu.
kuhusiana na selection za kidato cha tano mwaka huu ni kweli zimechelewa ila hii inatokana na utaratibu mpya wa utoaji wa post hizo. ila nina penda kuwahakikishia ya kuwa mbaka tar 3 ya mwezi ujao selection zitakuwa zimesha tangazwa kwani walianza na kutoa majina ya wanafunzi kwa ajili ya usaili wa jeshi la polisi na ndio watoe post zenu.

wewe wa mnyaki; hiyo "mbaka" inatisha!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom