Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Inabidi wakati mwingne nijifariji kwa bata za hapa na pale lakini mmmmh majangaaa.....

Serikali hawataki kutoa post mpaka nimpe mimba mtoto wa nyumba ya pili hapa afu niende jela miaka 30 miee maana mtoto mwenyewe mwanafunzi halafu mzuriii kichizi.... c kesi hizi jamani ... Doh salareeeeeeeeeee hahahahahahahahaa
mkuu,
siku zote ww ni fundi wa kutia mikwala
 
"NZI akiacha ujinga wake, ipo siku atatengeneza ASALI"... Kweli nmeamini serikali DHAIFU ya CCM imeshindwa kutekeleza majukumu yake hata katika hili....MUNGU IBARIKI TZ NA WALIPA KODI WAKE KWANI VIONGOZI WANASHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO IPASAVYO....

Ngoja tuone kama mwaka huu watu hawapangiwi wakasome BURUNDI kwa nkurunziza maana mmmmh mpaka leo kweliiiiiiiiiii utadhani wanapanga majina ya wakimbizi wa Burundi..... Hahahaha wanipangie CONGO nikasome mie maana naona hawataki nisome kwenye nchi CCM

Doh mtaani usawa unakaba mpaka mzee anataka anipeleke jkt kwanza nikakomae kabla ya kwenda shule hahahaha.....
Nyerere alikufa na nchi yake bhana kaacha majangaaa tupu Doh CCM hiiiiiii hahaha
HUU MKWALA NI NOUMAAA

bwana we ni fundi wa kutia mikwala
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania*******
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania*******
SIO KAWAIDA

wewe una tatizo katika ubongo wako
 
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3
*******msaada ni wajib wakila mtanzania*******

kwanza nakupongeza kwa kuwa na credt nne ila nakushauri tafuta thread iliyo andikwa ("ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne 2014") hao watakusaidia kwasababu wapo kwa ajiri ya msaada kama huo pia watakuvumilia ukiwa unaposti kila siku swali moja.
 
Niliwaambien Nimechoka Kuchungulia Jukwaan Kila Siku Maana Pesa Ya Kununua Bando Nayo Imeshakata Mpaka Nisubl Asubuh Na Air Tell So Zikitoka Mnijulishe 0757601630
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom