Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
We ndoroboo kweli ungesema we ni lin kila member ana right ya kutoa opinions

kwahiyo we unaona ni bora kuwapotosha watu kwa mtazamo usio kuwa na uhakika nao ilimradi wajue kuwa umetoa opinion "unawapa watu hofu, bora kutulia tu mpaka zitakapo toka".
 
kwahiyo we unaona ni bora kuwapotosha watu kwa mtazamo usio kuwa na uhakika nao ilimradi wajue kuwa umetoa opinion "unawapa watu hofu, bora kutulia tu mpaka zitakapo toka".

sasa kama hutaki hofu mnauliza uliza nini kuwa post zitatoka lini wakati hakuna ndugu yake majaliwa hapa tatizo hamtulii kila siku post then mkijibiwa mnakasirika boookless nyie
 
Tulieni nyie watoto kwanza sisi walimu wenu wapya bado tunateseka huku no salary mwez wa pili sasa
 
sasa kama hutaki hofu mnauliza uliza nini kuwa post zitatoka lini wakati hakuna ndugu yake majaliwa hapa tatizo hamtulii kila siku post then mkijibiwa mnakasirika boookless nyie

me sina hofu hata kidogo ndio maana sijaulza kuhusu posti but nawaambia wadau kuwa wasilete taarifa za kusadikika(taarifa za uzushi).
 
nijuze labda hossey hajajua nini kinaendelea but zikitoka msisahau kuni PM.

Wewe jamaa mbishi sana wenzako tunajua wadogo zetu wanaend wapi wiki ya 3 sasa...sema tu hatuwezi kusema hapa maana ile kazi ni nyeti. Ila mzigo kesho unapandishwa hewani
 
Wewe jamaa mbishi sana wenzako tunajua wadogo zetu wanaend wapi wiki ya 3 sasa...sema tu hatuwezi kusema hapa maana ile kazi ni nyeti. Ila mzigo kesho unapandishwa hewani

ni PM bas ili tufanye siri mwingne asijue na mimi nataka mzigo kimya kimya.
 
"NZI akiacha ujinga wake, ipo siku atatengeneza ASALI"... Kweli nmeamini serikali DHAIFU ya CCM imeshindwa kutekeleza majukumu yake hata katika hili....MUNGU IBARIKI TZ NA WALIPA KODI WAKE KWANI VIONGOZI WANASHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO IPASAVYO....

Ngoja tuone kama mwaka huu watu hawapangiwi wakasome BURUNDI kwa nkurunziza maana mmmmh mpaka leo kweliiiiiiiiiii utadhani wanapanga majina ya wakimbizi wa Burundi..... Hahahaha wanipangie CONGO nikasome mie maana naona hawataki nisome kwenye nchi CCM

Doh mtaani usawa unakaba mpaka mzee anataka anipeleke jkt kwanza nikakomae kabla ya kwenda shule hahahaha.....
Nyerere alikufa na nchi yake bhana kaacha majangaaa tupu Doh CCM hiiiiiii hahaha
 
Inabidi wakati mwingne nijifariji kwa bata za hapa na pale lakini mmmmh majangaaa.....

Serikali hawataki kutoa post mpaka nimpe mimba mtoto wa nyumba ya pili hapa afu niende jela miaka 30 miee maana mtoto mwenyewe mwanafunzi halafu mzuriii kichizi.... c kesi hizi jamani ... Doh salareeeeeeeeeee hahahahahahahahaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom