Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
hii ndo Tanzania yetu bhana! kila kitu mpaka support kutoka nje! mmmh! tusubiri post zitolewe kwa hisani ya watu wa marekani
 
Ina maana kuna watu wana mategemeo ya kwenda kidato cha tano halafu wamekaa tu muda wote huo! Wale wanaojitambua wameshapiga pre-form five na wamekaribia kumaliza silabas ya kidato cha tano! Utakaaje tu muda wote huo?
 
CCM oyeeeeeeee..... (itikeni wadau)
Tamisemi oyeeeee.... (itikeni wakuu) WANANCHI KIMYAAAA....

kama nawaona vile mlivyokerekwa na post doh hahahahahahah

Mungu atupe uvumilivu maana kuna watu wanakaa mtaani na vijiweni kuanzia asubuhi mpaka jioni matokeo yake wataanza kujifunza kuvuta bangi na kufanya mambo mengine ya ajabu...
GOD BLESS YOU ALL
 
Em namimi nizungumzie hizi taarifa za KIPUUZI na za UZUSHI kuhusu swala hili....

Nmeona watu wengi humu jukwaani ambao wanaleta taarifa za UONGO... Mara oooh post leo mara oooh post kesho...
Hivi ukikaa kimya pale ambapo kitu haukijui unapungukiwa nini au ndo mnaotea ili ukisema siku na kweli zitatoka unahisi ndo utapata sifa nyingi kutoka kwa wanaosubiri post ... Acheni ulimbukeni jaribuni kuwa REAL hatakama sio sehemu ya maisha yako na tabia yako...

Danganya KWENUUU ukifika hapa JF kuwa real na ongea kile ambacho una uhakika nacho... UONGO NI DHAMBI WAKUU
Au nyie Wana CCM nini!!!!
Halafu unaweza kukuta WAONGO wengi wanafunga mwezi huu na muda mfupi uliopita eti nawao wametoka kuftru jamani doh.... ACHENI UNAFIKIIIII na mnapoteza sifa kubwa ya mtu anayefunga kuwa ni UTAKATIFU.... Sema kweli daima na ukweli utakuweka huru...

Sorry kama nmekukera.... Nisamehe bure
#UKWELIDAIMA
#mr podson na wenzakoooo
By handsome mtaa mzimaaaa!!! GOD BLESS YOU ALL
 
kama mtu hauna uhakika nakuomba tafadhal koma kuongea v2 ambavyo havina uhakika aliyekuambia post zinatoka leo n nan au nyie ndo tamisemi yan ungejua wahitimu walivyochoka alafu mnazidi kuwachanganya,haipendez wakali
 
Hivi Hao Wanaopost Vitu Vya Kizush Wanaijua Shida Tunayopitia Mtaa? Au Wanaongea Tu Ili Nao Waonekane Wamechangia Mada Au Hawana Vitu Vya Kufanya? Si ajab Mingne Ikawa Ni Mijitu Mizima Huo Ni Ulimbuken Wa Mitandao! Unapozungmzia Jf Hapa Ni Sehem Ya Watu Wanaojielewa Mijitu Hyo Imeingiaj?
KAA KIMYA!!!
 
Hivi Hao Wanaopost Vitu Vya Kizush Wanaijua Shida Tunayopitia Mtaa? Au Wanaongea Tu Ili Nao Waonekane Wamechangia Mada Au Hawana Vitu Vya Kufanya? Si ajab Mingne Ikawa Ni Mijitu Mizima Huo Ni Ulimbuken Wa Mitandao! Unapozungmzia Jf Hapa Ni Sehem Ya Watu Wanaojielewa Mijitu Hyo Imeingiaj?
KAA KIMYA!!!

Miezi mingapi tu mnalia shida mnazozipata mtaani? Hahaaaaa
Wenye ufaulu wa mashaka lazima wawaze kupata nafasi!
 
Mijitu mingine mikubwa bure tu hata vitu yanayo ongea haviendan na umri wao. Com uongo xio mzuri
 
Mijitu mingine mikubwa bure tu hata vitu yanayo ongea haviendan na umri wao. Com uongo xio mzuri

Unajua ulicho andika? "yanavyo ongea", unazijua sauti zao? au umeandika ukiwa choon.
 
Loh....... Wadogo Zangu mbona presha juu ivyo..... Kwanini msikae mkatulia shule Mtakwenda tyu hata ikiwa mwakani 😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom