mwarenga amani
Member
- Dec 22, 2014
- 27
- 4
Yakitoka utayaona tu, digitali hii
Unaona kila mtu mtoto mwenzio humu?
Kwa nini wanaifunga,wakitoa majina selection haraka haraka shule zinafunguliwa.Sisi hatuna pesa za RUZUKU na UFISADI watoe majina mapema.
Kila mmoja anafikiria lake. Hebu karibuni tubadilishane mawazo kwa kuwa ile thread tuliyoitumia imefungwa. karibu.
Nisaidien wakuu Nimepata c nne ambazo niza masomo ya Phs,bios,chem,maths ,je naweza kwenda form five ya government ijapokuwa na GPA ya 1.3,
zitatoka leo