Post za kidato cha tano 2015/2016

Post za kidato cha tano 2015/2016

Status
Not open for further replies.
Unajua ukitaka kuyamudu mazingira ya hofu kama haya ni ku assume kama yatatoka baada ya mwezi mmoja mbele hapo nadhan hapo pressure itapungua
hapo ndio utakuwa unaongeza sio kupunguza uncle,tumechoka alafu wenzetu wanasonga mbele
 
kama nikutupoza basi tunaelekea kuganda...muda unaenda tangazeni tukasome

Kesho Nitazitangaza Rasm Vijana Muanze Maandalz Lakn Pia Wenye Internet Cafe Kesho Kama Kutakuwa Na Tatizo La Kukatika Umeme Waandae Generator Kabisa Maana Vijana Wangu Wanaham Sana Ya Kujua Nilikowapangia!
 
Kesho Nitazitangaza Rasm Vijana Muanze Maandalz Lakn Pia Wenye Internet Cafe Kesho Kama Kutakuwa Na Tatizo La Kukatika Umeme Waandae Generator Kabisa Maana Vijana Wangu Wanaham Sana Ya Kujua Nilikowapangia!

huyu jomakibu si ndo yule ambae alikuwa analalamika kuhusu post last week,halafu anatuambia kesho post zinatoka
 
Kwa kwl mm cna aman na hz post. Sio kwamba nina nchecheto au nn, tatzo ni lengo la ucheleweshj huu
 
Wa saba shule ila wengi wamekosa nafasi kutokana na uhaba wa madarasa na mabweni,hata hivyo serikali inajitahidi kuhakikisha inawabanabana ili wote mpate nafasi ya kuendelea na masomo.
 
huyu jomakibu si ndo yule ambae alikuwa analalamika kuhusu post last week,halafu anatuambia kesho post zinatoka

Nimesema Kesho Ndio Nitazitangaza Rasmi Hivyo Jiandaeni Kwenda Kucheq

Sasa Kimbembe Kwa Waliokomaana Tuition Ya PCB Wakati Mm Nimewapangia HGK Hahahaaa! Raha Kwelikweli!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom