ana ngapi huyo mkuu?
hahahahaha!
Thanx brother...(ila najiharibia)
there comes tedo for rescue...
kuwa ndugu na gamba,
najiharibia kishenzi!
Duh..... Hongera, ila unapotea sana siku hizi, tena unapotea kwa makusudi, kupigwa ban while you know the rules of the game.
Nilitegemea utatuandalia kakitu fulanu ku-celebreiti namba of posts zako.
Kwa hiyo wewe ndugu zako wote wapo Chadema? Hongera sana..sie wengine ndugu zetu wapo kila chama na wengine hawana vyama.
hongera mwaya
Mwanzoni nilikuwa nashangaa kuona mtu ana posts nyingi mpaka najiuliza hawa watu wameajiriwa na jamiiforums, kumbe ni upuuzi mtupu kama wewe mwenye kibwenzi cha kizamani
Dah, kazi kwelikweli..