Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,332
Mbona bado inazingua? Hata hiyo link yake haifunguki @ Sulejmanpost form four problem has been solved..
Mbona bado inazingua? Hata hiyo link yake haifunguki @ Sulejmanpost form four problem has been solved..
Hongera mkuuthanks GOD nmemaliza online ready printed
Weee, labda kama utaratibu mpya, na tuambie imeandikwa wap habar ya kujaza kwa pen nyeusi? Mbona mim nilizikoroga kwa blue pen na nikapata mkopo, na mwaka juzi tu nilimfanyia app ndugu yangu na akasaini kwa hiyo hiyo blue pen na akapata mkopo?Mkuu Hiyo Ni Kama Sheria Kwa Bodi Ya Mikopo Kuwa Fomu Zijazwe Kwa Peni Nyeusi tu!!
Na Ukibugi tu Kutumia ink ya rangi nyengine basi imekula kwako!
Kwahiyo be careful sana Katima Kutumia peni trust me.
Hata hivyo ni vyema muombaji asome maelekezo kwa umakini zaidi wakati wa kujaza na kuhakiki na baadae kujaza nakala ngumu (hard copy). Iwapo atakuta maelekezo kuhusu aina ya wino anaopaswa kutumia hana budi kutekeleza. Tusifananishe ya mwaka juzi na 2016/17Weee, labda kama utaratibu mpya, na tuambie imeandikwa wap habar ya kujaza kwa pen nyeusi? Mbona mim nilizikoroga kwa blue pen na nikapata mkopo, na mwaka juzi tu nilimfanyia app ndugu yangu na akasaini kwa hiyo hiyo blue pen na akapata mkopo?
Acha kutisha watu mkuu
Umeangalia salio? Vipi kuhusu hatua ulizofuata na usahihi wa index namba ya kdt cha 4 ulizoandika? Iwapo yote umefanya kwa usahihi. PIGA HUDUMA KWA WATEJA 100 ILI KUPATA SULUHISHO LA TATIZO LAKO.Mm nimelipia mpesa 30000 lkn situmiwa sms ya kua nimekua confirmed kwny hy system so tataizo nn
Tayari HESLB imeli shughulikia tatizo lako jaribu tena.Habari Wana Jf, nimejaza hatua zote kwenye fomu ya Maombi ya Mkopo Heslb lakini hichi kipengele cha "Post Form Four Education" kimekuwa tatizo kubwa. Nisaidieni tafadhali
Utaratibu upi kinyume na kuruhusiwa kwa muda kabla tarehe 31/7 kwani lazima kuwe na saini za wazazi/waleziWataandaliwa utaratibu mzur wa kuapply
IDs, birth certificates, Id ya mdhamini wako, picha yake na yakwako ppsize, kama amefariki cheti cha kifo kwa mzee ni muhimu, form 4,6 index no., mengine ni kawaida tu
Pia unaweza kutumia Microsoft office picture manager. Unaedit picha yako (resize to 150-120)
Kwenye ku.upload photos inaniletea uchawi kweli haikubali sijui kwann.
Wameniandika max size..ni 1MB mi nimeweka yenye 0.34 ila naona alama nyekundu.
Type ya photo wameandika ni (.jpg or .pjn)
Mi nimeweka jpg ila kuna red mark, shida nin hapa.??