wakisure
Member
- Dec 10, 2015
- 44
- 9
Huwezi anza upya sbb utakuwa ni km umelog out tu. Ila hiyo ni baada ya kupata username yako na password..ok hata kama hujamaliza kujaza sio kwamba utaanza upya ukikata
One step at a time.
Jaza kwanza maswala ya kuprint na kutuma ni baadae sana.
Jaza softcopy-print-jaza hardcopy kwa pen nyeusi tu- tafuta sahihi na mihuri yote inayohitajika-kacertify vyeti kwa mawakili au mahakaman-ambatanisha copy zenye mihuri toka kwa wakili-katume post kwa ems