bango siku hiyo nitaliandika hivi WATANZANIA WOTE TUKO TAYARI KUFA KWA AJILI YA KUTETEA MALI YETU
RAIS TUKULIPIE SAFARI ZA NJE ZOTE HIZO UMETALII DUNIA YOTE BILA KULIPA HATA SENTI BADO UNATUIBIA!!!!!!!
Ninaomba serikali itueleze ni kwa nini mwanasheria mkuu aliruhusu wakili aliyeitetea tanesco icc bila kupitia utetezi waliokuwa wanapeleka, la msingi ni kuhusu utapeli wa richmond na ubatili wao pamoja na kwamba hawakutekeleza mkataba kama ulivyotakiwa?