Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,393
- 5,518
Wakikujibu nistueSemina zitakuwa lini wakuu
Wakikujibu nistueSemina zitakuwa lini wakuu
Wamekimbia woteWakikujibu nistue
Inatumia muda gani sensa. Nataka nifanye application mkoani labda competition sio kubwa zaidi ya hapa, I bet seminar itaanza nishamaliza chuo pale July tarehe za mwanzo. Ikianza before hapo nishafeliSemina mnalipwa na kazi ya sensa mnalipwa kwaiyo kila mtu Takunja 600k+ ngazi ya chini wale wengine 800k+
Usiwaze mkuu, we bet tuInatumia muda gani sensa. Nataka nifanye application mkoani labda competition sio kubwa zaidi ya haoa, I bet seminar itaanza nishamaliza chuo pale July tarehe za mwanzo. Ikianza before hapo nishafeli
Application fanya mapema hii kiongoziInatumia muda gani sensa. Nataka nifanye application mkoani labda competition sio kubwa zaidi ya hapa, I bet seminar itaanza nishamaliza chuo pale July tarehe za mwanzo. Ikianza before hapo nishafeli
Nishafeli siwezi kuituma mkoani ni almost kule sijuani na watu. Kwanza sina cheti cha form 6 wala chuo, nilitaka niscan matokeo hata ya last semester ila najua wakifanya mchujo wananitema mapema kwa kutotimiza vigezo. Nilitaka usimamiziApplication fanya mapema hii kiongozi
Bado hujafeli... Wanachohitaji ni cheti cha kuzaliwa, form four na passport yako... Cha ziada ni cheti chochote cha taalumaNishafeli siwezi kuituma mkoani ni almost kule sijuani na watu. Kwanza sina cheti cha form 6 wala chuo, nilitaka niscan matokeo hata ya last semester ila najua wakifanya mchujo wananitema mapema kwa kutotimiza vigezo. Nilitaka usimamizi
Aiya. Kama hivyo nalifanyia kazi sasaBado hujafeli... Wanachohitaji ni cheti cha kuzaliwa, form four na passport yako... Cha ziada ni cheti chochote cha taaluma
Wanaombea wapi mkuuBado hujafeli... Wanachohitaji ni cheti cha kuzaliwa, form four na passport yako... Cha ziada ni cheti chochote cha taaluma
Google nbs TanzaniaWanaombea wapi mkuu
Wanaombea wapi mkuu
Mkuu asante. Nimepitia hatua zote...
Asante nilipataGoogle nbs Tanzania
Mwaka huu kuna interview acha kukariri mamboHakunaga intavyuu, nilipata hii 2012 bila koneksheni…. japo kuna waliotumia kujuana ila mfumo wa maombi haikuwa sawa na huu.
Tulijaza fomu na kuzipeleka halmashauri.
Malipo sio chini ya 595,000 kwa makalani.Wakuu,salaam,.
Hii ya kuhesabu sensa nasikia Ina hela ya kusogeza maisha.
Natamani kujua ni kama Tsh. ngapi kwa kazi nzima ili nichangamkie au nipotezee.
Hela naitamani ila ndio sijajua kama hii shuguli inalipa.
Kwa mliowahi kuifanya, naomba dokezo tuu ni kama Tsh. ngapi kwa zoezi zima?
Mwaka huu kuna interview acha kukariri mambo
Msaada namna ya kuedit maombi ya sensa kuna pahala nimeenda chaka niliweka wadhamini ambao wako mbali na Mimi ilihali form inahitaji Dole gumba pamoja na kusainiwa na kiongozi wa eneo husikaMsaada