lugabussa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 559
- 521
NikweliInterview yake inasimamiwa na watu na siyo mfumo. Hivyo swala la vimemo, kamlete, nitumie vyeti vyako na connection hayakwepeki
NikweliInterview yake inasimamiwa na watu na siyo mfumo. Hivyo swala la vimemo, kamlete, nitumie vyeti vyako na connection hayakwepeki
Acha useng3 bcHR Tanzania
Kikundi hiki cha HR ni jukwaa la kushiriki Kazi za Sasa, Habari za Ajira kwa watu wa Tanzania. Kanuni:- 1) Hakuna Barua taka & matusi na Ujumbe wa matusi kwa kila mmoja.🚫 2) Hakuna Messages za watu wazima🔞❌ 3) Hakuna tangazo la Cryptot.me
jiungeni apo tujadili mambo ya sensa
Hahaaaa kweli unachekesha ajira za walimu na afya kuna watu washaanza kujiandaa kwenda kazini ww baki kusema ni mfumo hakuna connection wakati mfumo wenyewe sio automatic lazima uendeshe na mtuConnection inatoka wapi wakati unajisajili kwenye hiyo website yao
doh! kweli nchi wanafaidi wachacheHahaaaa kweli unachekesha ajira za walimu na afya kuna watu washaanza kujiandaa kwenda kazini ww baki kusema ni mfumo hakuna connection wakati mfumo wenyewe sio automatic lazima uendeshe na mtu
Interview yake inasimamiwa na watu na siyo mfumo. Hivyo swala la vimemo, kamlete, nitumie vyeti vyako na connection hayakwepeki
Hahaaaa kweli unachekesha ajira za walimu na afya kuna watu washaanza kujiandaa kwenda kazini ww baki kusema ni mfumo hakuna connection wakati mfumo wenyewe sio automatic lazima uendeshe na mtu
Mbona nasikia ile ya 2012 palikua na mtihani baada ya mafunzo na Alie feli alitemwa Yani ilikua Kama intavyuu ?nipe uzoefuHakunaga intavyuu, nilipata hii 2012 bila koneksheni…. japo kuna waliotumia kujuana ila mfumo wa maombi haikuwa sawa na huu.
Tulijaza fomu na kuzipeleka halmashauri.
Nilijaza dodoso refu semina +kazi yenyewe jumla ikikuwa kama 800kpesa ya kawaida sana,2012 watu walilamba laki 4 dodoso fupi
Kipindi kile ulikuwa unaomba mwenyewe kama unataka dodoso lefu au fupi,hata kiwango cha posho ya semina na siku pia zilikuwa tofauti,kazi ilikuwa kubwa sana kwa wenye Dodoso lefu mana mtahesa kila kitu kwenye kaya husika kuanzia kuku,bata ,mbuzi,kondoo,nguruwe etc..kazi kubwa ilikuwa kwenye kusiliba lile dodoso na penseli..hope mwaka huu watakuwa kidigitali zaidi.Navipi hizo dodoso Yani fupi na refu wasimamizi wake wanachaguliweje?
Dàah ilikua amsha kweli Sasa sijui mwaka huu watatumia utaratibu gani kuwapata wa Hilo refu au Hilo fupiKipindi kile ulikuwa unaomba mwenyewe kama unataka dodoso lefu au fupi,hata kiwango cha posho ya semina na siku pia zilikuwa tofauti,kazi ilikuwa kubwa sana kwa wenye Dodoso lefu mana mtahesa kila kitu kwenye kaya husika kuanzia kuku,bata ,mbuzi,kondoo,nguruwe etc..kazi kubwa ilikuwa kwenye kusiliba lile dodoso na penseli..hope mwaka huu watakuwa kidigitali zaidi.
Kwani dodoso ni tofauti na carani wa sensa?Dàah ilikua amsha kweli Sasa sijui mwaka huu watatumia utaratibu gani kuwapata wa Hilo refu au Hilo fupi
Mmm mtu ajiandae kwenda kazini wakti dirisha limefungwa Jana, connection nyingine Ni utaperi mtupuHahaaaa kweli unachekesha ajira za walimu na afya kuna watu washaanza kujiandaa kwenda kazini ww baki kusema ni mfumo hakuna connection wakati mfumo wenyewe sio automatic lazima uendeshe na mtu
Mbona nasikia ile ya 2012 palikua na mtihani baada ya mafunzo na Alie feli alitemwa Yani ilikua Kama intavyuu ?nipe uzoefu
DaaahHii ilikuwa tz nzima na hatukulipwa
Tafuta mtu halimashauriSiwajui mkuu Hebu nijuze ni akina nani hao nicheze nao mapema
Na sio kazi hii HATA ZILE ZA UTUMISHI, we ushangai majina mengine yanatoka KANZI DATA!Tafuta mtu halimashauri
Maana baada ya kua apply kwenye mkoa na wilaya yako kuna kamati itaundwa na hiyo kamati kuna watumishi kutoka halimashauri kuwachambua sasa kwenye kuwachambua
Ndio utaskia mtu anapigiwa oyaa nitumie jina na vyeti vyako Fasta
We unadhani watakao pata kazi hiyo ni wote wame apply online wakapitia screening ? Jibu ni big No