Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Duh! Pole mkuu ila Musukuma pale bungeni anakula kiyoyozi na standard 7 yake huku akitaka tulime bangi.Hapana mkuu, sikupata. Niliambiwa nime-fail oral interview.
Duh! Pole mkuu ila Musukuma pale bungeni anakula kiyoyozi na standard 7 yake huku akitaka tulime bangi.Hapana mkuu, sikupata. Niliambiwa nime-fail oral interview.
Tatizo huu mjadala wamejaa layman, eti posho ziondolewe hahaha hustle na wewe ufike levels hizo ambapo taaluma yako itaanza kukulipa kwa masaa. Mimi mwenyewe sijafika level hizo ila usiku na mchana nafanya juhudi nifikie huo uwezo ambapo taaluma yangu itaanza kujilipa yenyewe.
Nani kasema hawastahili kulipwa posho?Kwahiyo walimu, manesi na ma secretary hawakusoma?
Yaani posho ni nyingi kuliko mradi wenyeweMakampuni ya kigeni huwa wanashangaa sana na kuchoshwa na hili la posho.
Wanashindwa kuelewa hata mimi nashindwa kuelewa, eti kikao cha kujadili kazi zao waandaliwe na bahasha.
Vilevile bungeni, posho za kikao huku wana mishahara, kisha Africa tunataka tuwe kama ulaya, huku fedha zote zinalipa wachumia tumbo, haziendi kwenye miradi ya maendeleo.
Everyday is Saturday...............................
SijuiMay day nayo ilikuwaje? Walipane posho wakati ilikuwa si siku ya kazi?
Huwezi kubadilisha huo utaratibu utakonda bure soma fanya kazi kwa bidii upate cheo ule mema ya nchiKwahiyo?
Una akili fupi sanaHuwezi kubadilisha huo utaratibu utakonda bure soma fanya kazi kwa bidii upate cheo ule mema ya nchi
Wewe inaonekana huna elimu hata kidogoUna akili fupi sana
Kama na wewe unajihesabu ni msomi basi elimu yako haina thamani bora wazazi wako wangenunua ngurue wafuge kuliko kupoteza hela kukusomesha huo ujinga bin sufuri!Wewe inaonekana huna elimu hata kidogo
Ndio maana kila mtu anakimbilia bungeni aisee, ndani ya miaka mitano huu mzigo si unazidi 1 bi. kweli?Mizizi wa haya yote chanzo chake ni bungeni kule tulikotuma wawakilishi wetu, mshahara 3.8m posho 8m kwa mwezi, akihudhuria kikao cha bunge kwa siku anakula 360k ambao ni mshahara wa mtumishi mwingne kwa mwezi, anapewa mafuta ya gari lita 1000 kwa mwezi na mkopo wa gari 90m, bima ya afya daraja la kwanza ambayo utatibiwa popote duniani na pensheni ya 250m ndani ya miaka 5.
Afu wakiwa bungeni wanajadili nguvu za kiume mamaye haya mambo yanatia hasira.
Hoja sio taaluma kuna watumishi wana masters Ila hawana hizo posho mfano mwalimu. Ila kuna watu wana certificate lakini wanakunja posho kibao sababu wako wizara ya fedha au BOT au TRA au hazinaa