Acha unafiki hivi kweli inakuingia akilini ukate tawi ulilikalia? Hiyo ni propaganda ya watu wa system kuwanukisha wote waliokimbelembele katika kudai kufutwa kwa posho, mosi ikiwa ni kutoa personal details zao ambazo hazina tija zaidi ya kuongeza ugumu wa kufika maamuzi.Kumbe wabunge wa Chadema ni wanafiki wakubwa nimeangalia TBC leo asubuhi, Mbowe na wenzake kumbe wamekopa pesa benki wamedhaminiwa na Katibu wa bunge kuna wengine wamekopa milioni 200, wengine milioni 150, watakuwa wanakatwa kwenye posho zao. Mbowe alitaka kukataa Lukuvi akamwambia mmechukuwa Mbowe kimya
Mkuu, bahati nzuri wabunge wa Chadema wanapita sana humu JF, itakuwa vyema kama watajibu swala ili, kweli wanakopa benki na mdhamini wao ni ofisi ya Katibu wa bungeTuseme mbunge kaugua kikao chote cha bunge huo mkopo analipaje? Tuwe tunafikiria wakati mwingine bana sio ushabiki tu!
Hata kama ni kweli basi hiyo siyo dhambi watalipa kupitia vyanzo vingine. Lakini wewe mbona hujauona unafiki wa serikali ya JK total expenditure 8.6tril wakati Total Revenue 7.1tril kwa hiyo 1.5tril deficit! Wakati anajua kabisa akikata posho ata save .9tril na kubaki na deficit ya .6tril, jambo ambalo lingemletea ahueni ya kwenda kuomba kuomba kama matonya huko nje au kujiingiza katika mikopo isiyo ya lazima! Toa banzi kwenye jicho lako ndipo uone bolt iliyo katika jicho la mwenzio, mimi naamini kabisa serikali yetu ni ya kinafiki nafiki isiyojali na kazi yake kuu ni kuandama upinzani usipate nguvu ili waendele kutunyonya!Wabunge wa Chadema wanafiki wanapinga posho kumbe hizo hizo posho ndio wachukulia mikopo
Mkuu, ebu tugande hapa kwenye ili ni kweli wabunge wa Chadema wamechukuwa mikopo benki mdhamini wao ni ofisi ya Katibu wa bunge na mikopo hiyo inalipwa kupitia Sitting allowanceAcha unafiki hivi kweli inakuingia akilini ukate tawi ulilikalia? Hiyo ni propaganda ya watu wa system kuwanukisha wote waliokimbelembele katika kudai kufutwa kwa posho, mosi ikiwa ni kutoa personal details zao ambazo hazina tija zaidi ya kuongeza ugumu wa kufika maamuzi.Nakutahadhalisha nchi hii inahitaji revamp of the whole system, ni kama gari iliyonock. Hakuna boundary kati ya chama na uongozi! Katibu mkuu anakwenda kuwa katibu wa CCM n.k.
Kwani Slaa analipwa mshahara au posho?Hivi ukiwa kama mfanyakazi uwe wa serikali ama binafsi watu wakopa kwenye mshahara ama kwenye Posho?? Naombeni kujuzwa
Umeelewa,wabunge wasiochaguliwa na wananchi wanatupotezea fedha zetu,hawana umuhimu kama sitting allowances zisivyo na umuhimu.
Hoja tosha
Mkuu hizo hesabu zako ni za wabunge tu hujaweka posho za vikao za watumishi wengine serikalini. Ukiziweka hizo nadhani utapata mamia ya mabillioni. Mkuu suala hili ni mtambuka halihusu wabunge peke yao. Ni vema kama wabunge watakataa posho za vikao na kuzifuta na pia zifutwe serikalini. Haiingii akilini kwamba hata vikao vya management watu wanalipana posho, vikao vya kamati mabalimbali wanalipana posho. Posho poosho posho kila mahala.
yaani hili LUKUVI ndo ***** kabisa sijui hata anaongeaga nini mwalimu wa primary huyu...[/QUOT
Walimu hawausiku hapa, ukumbuke ndio walio kufuta ujinga