Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wadau Nawasalimu.
Naomba kufahamishwa yafuatao kwa mwenye Uelewa Mpana juu ya BUNGE
1.Ni Chombo Gani KISHERIA kinachopanga Mishahara Posho na Mafao ya WABUNGE?
2.Kwanini Mishahara Posho na Mafao ya Wabunge ni Makubwa kuliko ya Mihimili Mingine?
3.Kwanini MIHIMILI 3 itofautiane Mishahara Posho na Mafao wakati Mihimili yote inatumia KODI na Mihimili yote inawatumikia Wananchi?
4.Kwanini Wabunge Mafao yao ni Makubwa licha ya kutumikia Bunge kwa Miaka 5 tofauti na Watumishi wa Mihimili mingine waliokaa kazini kwa Miaka zaidi ya 20?
Naomba kufahamishwa yafuatao kwa mwenye Uelewa Mpana juu ya BUNGE
1.Ni Chombo Gani KISHERIA kinachopanga Mishahara Posho na Mafao ya WABUNGE?
2.Kwanini Mishahara Posho na Mafao ya Wabunge ni Makubwa kuliko ya Mihimili Mingine?
3.Kwanini MIHIMILI 3 itofautiane Mishahara Posho na Mafao wakati Mihimili yote inatumia KODI na Mihimili yote inawatumikia Wananchi?
4.Kwanini Wabunge Mafao yao ni Makubwa licha ya kutumikia Bunge kwa Miaka 5 tofauti na Watumishi wa Mihimili mingine waliokaa kazini kwa Miaka zaidi ya 20?