Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
- #21
hivi hili la mwanzilishi, lina faida gani kwa siasa zetu? Waanzilishi wa CDM, CUF, NCCR ni kina nani? Maana ukiachana na uanzilishi, hivi wangapi wametoka upinzani kwenda CCM na vice versa? Inasaidia nini hii katika siasa zetu?
Watanzania kweli wagumu kuelewa mambo rahisi kabisa! Tatizo hapa ndugu yangu Anfaal ni kwamba hao wa vyama vingine vyote ulivyotaja walikuwa open kabisa, hawakujifichaficha kama hawa wa CCJ, isipokuwa Mpendazoe tu. Kama Nape, Mwakyembe na Sitta walianzisha CCJ (kitu ambacho ni haki yao kikatiba) -- kwa nini wajifiche? Ni wanafiki tu!