Kwani Nape kuanzisha CCJ ni ufisadi? Nape wala asijihangaishi sioni kosa hapo tuna angalia je amewahi kuliibia Taifa! Mbona Dr Slaa alitoka CCM akenda Chadema kwani ni kosa mtu kupata wazo la kuanzisha Chama? Nape endelea na msimamo wako wa kuwaondoa EL,RA na Chenge
Nape kuanzisha CCJ na kukataa ni unafiki wa kindumilakuwili .... kwanini asiseme ndiyo aliyeanzisha...? watu wengine bana ni ubishi tuu kama mataruma ya reli