Population of Muslim in the World

Population of Muslim in the World

Status
Not open for further replies.
hivi inawezekana kwel nchi nzma kwa sasa ikawa dini moja tu yani asilimia mia au mi ndo sielew maana ya asilimia mia
 
hamna haiwezekani japo lengo la kuwapiganisha hasa ndo hilo.

Rate yao ya kuzaliana iko juu sana.
Mfano gaza strip,israel anajitahidi kuwapunguza lakini wapi,wanazidi kuzaliana na ndo chanzo cha yeye kuamua kujenga maukuta kuwazuia wasiingie israel.

Thats means hii order itashindwa manake miongoni mwa walengwa wakubwa ni waislamu. Hata haya yanayoendelea katika mataifa ya kiislamu ni miongoni mwa technique zao.
 
umaskini tu wa hela na akili ndo unasumbua watu...
Mtu unakaa unasema ngoja nikafatilie idadi ya watu dini flani alafu nikaweke JF ati kushindana... I doubt ni mtu mwenye hela, hua hawana mbwembwe za kitoto, time wasted
 
Thats means hii order itashindwa manake miongoni mwa walengwa wakubwa ni waislamu. Hata haya yanayoendelea katika mataifa ya kiislamu ni miongoni mwa technique zao.
waliona kuwa kupigana vita na waislamu hawataweza ni gharama na watafiriska kwa sababu muslimu dont guit.mfano irag ilibidi marekani afunge virago baada ya kumenyeka kwa zaidi ya miaka 10.

Ama afaghnstan ambako pia wamechemka na wanaondoka.
Hata crusade napo zote walikuwa wakipigwa miaka nenda miaka rudi,ndo wakaja na mbinu ya kuwachochea waislamu wawe wanapigana wao kwa wao huku kazi yao ikiwa ni kusupply silaha kwa pande zote.mfano syria,libya etc.lakini hapo pia sidhani kuwa yatafanikiwa.
 
Muslim population:

1. Afghanistan 100%
2. Albania 75%
3. Algeria 99%
4. Angola 25%
5. Argentina 2%
6. Australia 2.09%
7. Azerbaijan 93%
8. Bahrin 100%
9. Bangladesh 85%
10. Bhutan 5%
11. Brazil 0.6%
12. Burma 10%
13. Canada 1.48%
14. Cntral africn rpblc 55%
15. China 11%
16. Egypt 94%
17. Ethopia 65%
18. Fiji 11%
19. France 7%
20. Georgia 11%
21. Germeny 3.4%
22. Greece 1.5%
23. Guinea 95%
24. Guyana 15%
25. Hongkong 1%
26. India 14%
27. Indonesia 95%
28. Iran 99%
29. Iraq 97%
30. Isreal 14%
31. Italy 1%
32. Japan 1%
33. Jordan 95%
34. Kenya 30%
35. Kuwait 89%
36. Lebanon 70%
37. Libya 100%
38. Maldives 100%
39. Malasiya 52%
40. Mauritius 19.5%
41. Mayotte 99%
42. Nigeria 75%
43. Oman 100%
44. Pakistan 97%
45. Phillipines 14%
46. Qatar 100%
47. Romania 20%
48. Russia 18%
49. Saudi arab 100%
50. Singapore 17%
51. Somalia 100%
52. Sri lanka 9%
53. Sudan 85%
54. Syria 90%
55. Tazakistan 85%
56. Tanzania 65%
57. Thiland 14%
58. Tunisia 98%
59. Turkey 99.8%
60. UAE 96%
61. UK 2.5%
62. USA 3.75%
63. Uzbekistan 88%

Where the Prophets originated:

Adam(A.S) - Sri Lanka
Nooh(A.S) - Jordan
Shoaib(A.S) - Syria
Saleh(A.S) - Lebanon
Ibrahim(A.S) - Palestine and died in iraq
Ismail(A.S) - Saudi Arabia
Yakoob(A.S) - Palestin
yahya(AS) palestine
zakariya (AS) palestine
Ishaq(A.S) - Palestin
Yusuf(A.S) - Palestin
Looth(A.S) - Iraq
Ayub(A.S) - Jordan
Hood(A.S) - Yamen
Nabi-Muhammad S.A.W) - Saudi Arabia

Hapo tu ndo pamefanya sredi yako yote ikose legitimacy.
 
Nadhani hapa ni mantiki nzima ya nini kinakusudiwa kusema %ge by population ya muslims, ikiwa ni population tu BUT je ikiwa population hii ni kubwa au ndogo sana nini kifanyike AMA je ina-IMPACT gani kwa maendeleo tofauti na population za dini nyingine?? Hili ni muhimu sana nionavyo takwimu hizi. Maswali mengi nitajiuliza:
1. Je ulimwenguni uislamu wetu unachangia maendeleo ya sayansi na teknolojia kushinda dini nyingine?
2. Uislam wetu unafanya ulimwengu kuwa mahali pazuri pa kuishi?
3. Uislamu wetu una mawazo mema, kuheshimu na kushirikiana vyema na dini nyingine?
4. Kama ulimwengu ungeweza kuwa wote waislamu na amani ikawepo tofauti na dini nyingine?
5. Uilsamu wetu je umeshika kwa asilimia sawa na takwimu hizi - UCHUMI wa dunia?

Kama ni HAPANA juu ya maswali yote hapo juu - UILSAM hauna maana yoyote.
Asanteni
 
hivi inawezekana kwel nchi nzma kwa sasa ikawa dini moja tu yani asilimia mia au mi ndo sielew maana ya asilimia mia

Hapo ndio ubaya wa kukimbia shule, jamaa hajui hata kama kutakuwa na mtu mmoja tu ambaye sio muislamu kati ya bilioni moja hapo haiwezi kuwa 100%.
 
The study of the United States Bureau of Democracy, Human Rights, and Labor for 2009 suggests that 62% of the population of Tanzania is Christian, 35% is Muslim, and 3% are members of other religious groups


Many religious groups are reluctant to estimate religious demographics, but most religious leaders estimate that the population is 50 percent Christian and 50 percent Muslim. A 2010 Pew Forum survey estimates that approximately 60 percent of the population is Christian, 36 percent Muslim, and 4 percent members of other religious groups.
On the mainland, large Muslim communities are concentrated in coastal areas, with some large Muslim minorities also located inland in urban areas. Zanzibar is approximately 98 percent Muslim. Between 80 and 90 percent of the Muslim population is Sunni. The remainder consists of several Shia subgroups, mostly of Asian descent. Christian groups include Roman Catholics, Protestants (including Pentecostals), and eventh-day Adventists, The Church of Jesus Christ of Latter-day Saints (Mormons), and Jehovah’s Witnesses. Other religious groups include Buddhists, Hindus, Sikhs, and Bahais.

Source: TANZANIA 2012 INTERNATIONAL RELIGIOUS FREEDOM REPORT (http://www.state.gov/documents/organization/208416.pdf)
 
Matusi kama haya yako hutolewa na MAKAFIRI KAMA WEWE! sitegemei mwislam ambaye ni mstaarabu atoe maneno haya. Acha kuleta hoja za uchonganishi!
 
Kuna jamaa yangu yuko Libya ambako mtoa thread hii amesema 100% muslim lakini yeye ni mkristo na alisema kuna makanisa na watu wanakwenda kanisani ila siku ya Jumamosi sasa hiyo 100% inatoka wapi, na kumbuka hapo utakuta kuna watu hana tena dini
Katika kutaka kujua kama huyu jamaa katupa data za kweli nimeingia Google nikapata
97% Muslim and others 3%

Hapo ndio ubaya wa kukimbia shule, jamaa hajui hata kama kutakuwa na mtu mmoja tu ambaye sio muislamu kati ya bilioni moja hapo haiwezi kuwa 100%.
 
Ni kweli ameleta ufahamu ila angezitendea takwimu haki kwa kutujulisha kidogo idadi ya watu wote duniani tujue walau ni sehemu gani. Au hata idadi ya watu kwenye nchi husika kuliko kuweka asilimia tu. Hii haitoi ukweli.
 
Hapo ndio ubaya wa kukimbia shule, jamaa hajui hata kama kutakuwa na mtu mmoja tu ambaye sio muislamu kati ya bilioni moja hapo haiwezi kuwa 100%.

haya ndo matatizo ya kua mdini unajikuta unafanya mambo kiushabik bila ya kuyatafakar kwanza
 
idad ya watenda mema,idad ya wenye kumfanya mwenyez Mungu ndio mtetez wao,nadhan ndio ingekuwa takwimu bora,kuliko idad hii ya waislamu majina,au mtu aje atoe idad ya wakristo ili hal awaend kanisan,wauaj,wez,n.k
Mungu atusaidie kumjua yeye,maana ukfa utakwenda kujbu peke yako,idad hiyo aitakuwepo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom