RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Am a moslem, am proud off.
what do you mean???
Am a moslem, am proud off.
Mkuu upo?sijakuona muda nikajua uko guantanamo.
what do you mean???
katika watu zaidi ya bilioni moja nchini china kuna waislamu ni 11% na katika watu karibia bilioni moja india waislam ni 14% kwa takwimu hizi tu inaonyesha ni jinsi gani waislamu ni minority.
Unajua kuwa hao niliowawekea nyekundu ni waisraeli?
Tafuta pia idadi ya wakristo India na china ndo udhibitishe huo usemi wako acha majungu dogo!
Nani kakukatalia kua si waizraeli? Nchi wanayotoka ni Falestine tatizo lako liko wapi...hakuna nchi inayoitwa Israeli kihistoria....
idadi aliyoleta mtoa mada ni sahihi kabisa kama hutaki kunywa sumu.tanzania uongo mtupu waislam hapa ni wachahe sana hata 45% sijuwi kama wanafika
Bwana Mdogo HUSSEIN MUSHI
Nikija hapa Tanzania ndio utacheka lakini kama umezoea kukaa kwenye barza za ustadhi Mohamed Said lazima utajidanganya sana.Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 1967 ambayo ilikuwa ikionyesha idadi ya watu kwa kufuata misingi ya dini bado waislamu walikuwa wachache kuliko wakristo na wapagani.
Mwaka 1967 watanzania walikuwa 12,112,858 waislamu walikuwa 3,692,599 wakristo 3,710,626 wanaofuta dini za jadi walikuwa (local belief) 4,194,333 na madhehebu ya dini nyingine 153,139 kumbuka idadi yote ya waislam inajumuisha na idadi ya wazanzibar yenye idadi kubwa ya waislamu lakini bado haikuifikia idadi ya wakristo.
Sasa sijui hizi data zako umezitoa wapi labda Shura ya maimamu
wakristo wanaandika kutoka kushoto kwenda kulia , waislam wanaandika kutoka kulia kwenda kushoto hence they collide at the middle..huyu anaandika herufi zmesimama hyu mwngine anaandika mchalango....kamwe hamtoelewana...
muhudumu niongeze kili ya baridi tafadhari af nistulie yule dada pale kama atapenda kujoin na mimi..
nigeria?????
tanzania?????
italy??????
kenya?????
Miaka michache ijayo dunia itakuwa katika hali tete sana kutokana na kupunguzwa waislamu kwakuuliwa na population measures nyingine kuelekea one world order.
Waislamu wana maandishi yao,na Namba zao,hata namba kutoka 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 ni namba zao,na neno ALPHABET,ni la uislamu,kwa maana ya Alf,Be,Te,.wakristo wanaandika kutoka kushoto kwenda kulia , waislam wanaandika kutoka kulia kwenda kushoto hence they collide at the middle..huyu anaandika herufi zmesimama hyu mwngine anaandika mchalango....kamwe hamtoelewana...
muhudumu niongeze kili ya baridi tafadhari af nistulie yule dada pale kama atapenda kujoin na mimi..