Hii nimeishia kucheka tu. Source itakuwa ni Al Nuur!!!Muslim population:
56. Tanzania 65%
ni tatizo mkuu waislam walitaka kipendegele hiki kiwekwe kwenye sencer...serikali ya kina Lukuvi walikataa....kama unavyojua mtu akitia mpira kwapani ujue ngoma nzito
Muslim population:
Where the Prophets originated:
Adam(A.S) - Sri Lanka
Nooh(A.S) - Jordan
Shoaib(A.S) - Syria
Saleh(A.S) - Lebanon
Ibrahim(A.S) - Palestine and died in iraq
Ismail(A.S) - Saudi Arabia
Yakoob(A.S) - Palestin
yahya(AS) palestine
zakariya (AS) palestine
Ishaq(A.S) - Palestin
Yusuf(A.S) - Palestin
Looth(A.S) - Iraq
Ayub(A.S) - Jordan
Hood(A.S) - Yamen
Nabi-Muhammad S.A.W) - Saudi Arabia
Tanzania uongo mtupu waislam hapa ni wachahe sana hata 45% sijuwi kama wanafika
Mimi ningekuona wa Maana kama ungeweka takwimu inayoonesha mchango wa waislam katika elimu kupitia vyuo, shule. Afya nk
Idadi ya watu katika dini haina mashiko maana kila mtu ana hatma yake siku ya mwisho
hivi uchache au wingi wa waumini wenu sisi tusio waislam unatusaidia nini?Nawe source yako ni ipi ya kutufanya tuamin kuwa amedanganya mbona hukusema kenya?acha udini wa kijinga!
Sijui kwa nini tu wajinga kiasi hiki, badaya ya kujivunia uafrika wako unajivunia kitu kisichoo na asili yako.
Weka source,Tanzania umetudanganya