Population of Muslim in the World

Population of Muslim in the World

Status
Not open for further replies.
Unajua kuwa hao niliowawekea nyekundu ni waisraeli?
yakobo ndo israel,wale watoto wake 12 ndo wanawakilisha makabila 12 ya israel.

Isaka,zakaria sidhani kama wanaqualify kuitwa waisrael.
 
Naona mmekaa na matakfiri wenzako mmeona mlete list yenu ya kubuni buni hapa ile hali ukweli Upo wazi'kuonesha ujinga wenu Et afrika ya kati waislam ni 55% ama kweli ujinga ni mzigo!
 
Kumbe Tetesi?!!!!!


This is a list of religious populations by proportion and population. Estimates made by reliable sources differ. The CIA's World Factbook gives the population as 7,021,836,029 (July 2012 est.) and the distribution of religions as Christian 33.39% (of which Roman Catholic 16.85%, Protestant 6.15%, Orthodox 3.96%, Anglican 1.26%), Muslim 22.74%, Hindu 13.8%, Buddhist 6.77%, Sikh 0.35%, Jewish 0.22%, Baha'i 0.11%, other religions 10.95%, non-religious 9.66%, atheists 2.01% (2010 est.).[1]

Hii ipo sahihi kabisa...
 
wengi wanauwana wenyewe...mf egypt,syria, somalia, sudani, iraq,mali....
umeshawahi kutega sikio ukraine,mexico,sudani kusini etc uone wanavyouana?.

Sir God anajua kubalance mahesabu,huku wakiuana wao kwa wao huku watakufa kwa ajali,kimbunga,matetemeko ama hata magonjwa.
 
Miaka michache ijayo dunia itakuwa katika hali tete sana kutokana na kupunguzwa waislamu kwakuuliwa na population measures nyingine kuelekea new world order.

Yani ulivyo zuzu unaweza jinyonga mwenyewe ukasingizia mataifa ya Ulaya na Marekani yamesababisha ujinyonge......
 
prouuuuuuuuuuuuuuuuuud, so what, kwa hiyo?, ili, je ndio imekuongezea life span. au imekupa maisha bora

Maisha bora kwako maana yake nn, mbona unakuwa kama yale majamaa yanayowazaga kujaza matumbo yao ndio maisha bora...
 
Miaka michache ijayo dunia itakuwa katika hali tete sana kutokana na kupunguzwa waislamu kwakuuliwa na population measures nyingine kuelekea new world order.

Dini yako na new world order(freemanson) vinalandana kbs...
 
Mimi ningekuona wa Maana kama ungeweka takwimu inayoonesha mchango wa waislam katika elimu kupitia vyuo, shule. Afya nk

Idadi ya watu katika dini haina mashiko maana kila mtu ana hatma yake siku ya mwisho

Hebu sheikh Ritz tupe takwimu za mchango wenu katika sekta ya elimu...

Maalim wengine kama crabat Boko haram mnaweza saidiana
 
Last edited by a moderator:
Miaka michache ijayo dunia itakuwa katika hali tete sana kutokana na kupunguzwa waislamu kwakuuliwa na population measures nyingine kuelekea new world order.
hamna haiwezekani japo lengo la kuwapiganisha hasa ndo hilo.

Rate yao ya kuzaliana iko juu sana.
Mfano gaza strip,israel anajitahidi kuwapunguza lakini wapi,wanazidi kuzaliana na ndo chanzo cha yeye kuamua kujenga maukuta kuwazuia wasiingie israel.
 
Data za kupika kwa Tanzania. Na hakina nchi 100% moslems.
 
Idadi siyo tija. Waisrael pale Middle east wako wachache lakini wamepiga Waarabu wote wakanyoosha maelezo. Walijiunga Saud arabia, Irad, Misri, Syria, Iran lakini wakapigwa halafu wanaume wakataza nchi yao Israel
na kweli idadi si hoja,hasa hezbulah 3000 walipowagonga waisrael zaidi ya laki 200 kwenye vita vya 2006.
 
ina maana waislamu wana waiga wakristu kuandika???????............

Wacha kabisa hawa watu wanaiga kila kitu.... Juzi Jumamosi nimeudhuria harusi moja ya kiislam ...Dahhh! Yani harusi ni full Kigalatia...Bibi harusi kapiga shela nyeupe na Gauni lake safiiii jeupe.....Bw/harusi kapiga suti yake safi kabisa.....

Dahh...Nilistaajabu sana...Kumbe wakishafunga ndoa kwa kiislam wanabadilisha zile nguo zao wanavaa nguo za Kigalatia...

Hakika cha Kigalatia ni kitamu..
 
Hawajai hata kiganja ila wanavyoisumbua hii dunia
 
kuna watu wamegeuza huku sehemu ya malumbano ya kidini ambayo hayana mshiko atasema chochote kuhusu dini yake hata cha uongo hizo data umezitoa wapi kama sio kuleta malumbano ambayo hayana faida kwa upande wowote
 
Na ikifika ijumaa ndio wanaongoza kwa kupita na vibagarashia madukani kuomba mia mbili mia mbili.
hicho sio kigezo,ukiona wavaa baragashia 50 kila ijumaa wanaomba hapohapo unaconclude waislamu wako hoe hoe?.

Asilimia kubwa ya wakristo wako vijijini ama tunaita interior na maisha yao ni ya chini sana.toka hapo dar uende vijijini huko mpanda,bariati etc .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom