4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 6,120
- 6,932
Sina mengi, nawasalimu wote wana JF kupitia jina kuu kila mmoja kwa imani yake
Kichwa tajwa chajieleza.
Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi
Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.
Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo
1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?
2. Ameamua kukaa kimya?
3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?
4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI
Mwisho
Kichwa tajwa chajieleza.
Mimi sio mwanafamilia ya Mzee tajwa hapo juu, ila kwangu natambua ni Rais wangu mstaafu ambae ameliongoza taifa langu kwa miaka kumi
Ni mda sasa sijamsikia na ukimia umetawala ,na natambua bado tunaendelea kumtunza kama mstaafu wa urais chini ya kodi zangu na watz wengine kwa ujumla.
Nchi inapitia magum mengi , ikiwemo suala la BANDARI n.k ila sijamuona akiseema lolote na ndo mwanzo wa kuanzisha mada hii nakuamua mtafuta kupitia maswali yafatayo
1. Kama yuko Tanzania mbona simuoni hata kupitia vyanzo mbalimbali vya habari angalau zungumzia yanayoendelea nchini ikiwemo suala la BANDARI zetu n.k?
2. Ameamua kukaa kimya?
3. Anaumwa au anayo majukumu mazito kuliko yale ya Taifa lake kwa sasa?
4. Kama mzee muhimu wa taifa hili yanayoendelea yapo na baraka zake ndo maana hazungumzi lolote? Badala yake tunaona watu kama mzee Malicela na uzee wake anazungumzia mambo haya japo akiwa Waziri Mkuu alishindwa peleka hata barabara ya lami kwao MVUMI
Mwisho