Popobawa akikutembelea eti lazima umtaarifu mkeo au mumeo au hata watoto kuwa umetembelewa ndio aache mchezo wake na kuhamia kwingine.Je kuna ukweli wowote!!!Kuna mtu mwenye taarifa sahihi au ushuhuda wa mwenza wake au jirani kutembelewa na hicho kiumbe,au zilikuwa fiksi tu za wabongo kutunga mambo......!!!
kuna tofauti kati ya popobawa na jini mahaba?
kuna tofauti kati ya popobawa na jini mahaba?