Popo Bawa wewe ulichonifanyia, sikubali

Inaonekana ulikuwa na hamu tu ya kugegedwa ndio maana ukaota ndoto ta ajabu. Achana na kibamia hakutoshelezi njoo kwangu ili uache kuota ndoto za kutisha.

Kibamia kimeota na kukua sikuhizi napelekewa moto hatarii.
 
Leo nimewaza sana kuhusu ishu ya popobawa...nikaanza kusearch nikakutana na uzi wako....

Hehehehee weeh usimiwaze asije akakutokea usiku.... mwenzio yalishanikuta sina hamu.
 
Vp popobawa sio kibamia? Unavyojisifiaga kweli popobawa alifaidi lazima arudi maana hivi bado hujangaza hadharani unatakiwe uende kituo chochote televion ukasimulie ndo hatarudi vinginevyo tarajia mimba mkuu Kasie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom