Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,631
muwe mnasali kabla ya kulala jikabidhi mkonani mwa Yesu akupe malaika zake wakulinde usiku
Inategemea....kama hana dini?
muwe mnasali kabla ya kulala jikabidhi mkonani mwa Yesu akupe malaika zake wakulinde usiku
Natamani arudi tena leo akufumue 'marinda'!
Tupo wengii,nyanya haziuziki sokonii sijui tuuze bamia au matango na siku hizi watu wanapenda mihogo
Hata mi nna AC shoga angu....Vaslay nawewe kwako kuna Ac ,nimeamino kila mtu JF ana maisha mazurii,kazi nzurii
Sasa sijuii tutayahakiki vipii haya cc Evelyn Salt
acha uongo popo bawa mwaka wa saba huu yupo kwake baharini anatafuna karanga na kupepea bakio lake nasikia mwakani anarudi maana anapenda miaka tasa tu hi inayogawanyika kwa mbili hataki
Hata mi nna AC shoga angu....
Unataka kuniambia ndo unagundua kuwa huwa tunalala wote au unataka kuuaminisha nini umma wa wanajf?
......ila bora hadithi za shigongo zinamafundisho kuliko utumbo wa huyu ntu.
What the ... have I just read?
Ya kweli hayo?
Inategemea....kama hana dini?
Au kama ana dini isiyomkiri Kristo?
Hapana si kabang ila anaonekana alikuwa na kiu sana au alikuwa na ugwadu so alikuwa ananitafuna kama .......
Au kama ana dini idiyomkiri Kristo?
Mbona wewe una jina la kishetani ila tunakunyamazia tu? ??