Nakumbuka juzi juzi kuna jamaa aliandika humu kuwa mwanaume asipokuwa makini na mdomo, nyege na jambo a tatu silikumbuki, ataangamiaUpwirru Tungeona Alivyo kwanza Huyo Mfanyakazi tungejudge..
Pengine kaumbika na ni mzuri
Nakumbuka juzi juzi kuna jamaa aliandika humu kuwa mwanaume asipokuwa makini na mdomo, nyege na jambo a tatu silikumbuki, ataangamiaUpwirru Tungeona Alivyo kwanza Huyo Mfanyakazi tungejudge..
Pengine kaumbika na ni mzuri
Huyu Ndo huyo Mfanyakazi wa Ndani??
Ni kweli nakiri Kwamba Gwajima Ni mmoja wao.."Ni wazi kuwa Nchi imepata Viongozi waadilifu"
Kumradhi, maana umesema wewe sio sifia sifia, sema baai nchi imempata kiongozi, na aio viongozi maana kuna majizi mengi sana.
Arudishwe wizara ya Afya, kule aliweza.waziri Dkt. Gwajima D amekuwa anafanya kazi kwaweledi sana
Mmeaza kwamba Ummy kafeliArudishwe wizara ya Afya, kule aliweza.
Umeandika vema. Umekosea padogo tu....akili zoteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ziko kwenye uchaguzi. Hulka ya CCM itawapeleka kuzimu , motoni, jahanamu kwa daima kufikiri kufanya dhuluma ya uchaguzi!Hivi ndivyo Kiongozi wa serikali anapaswa kuenenda, nakupongeza Sana Dr Dorothy Gwajima na ni lazima tukutafutie Jimbo 2025
Waziri Dr Gwajima amemshukuru kwa ahsante mjumbe wa kamati kuu ya Chadema na Meya Mstaafu wa Ubungo mh Boniface Jacob kwa kumtag Baada ya kupata Taarifa ya DED kumbaka dada wa Kazi wilayani Mafia
Mawasiliano yamefanyika ukurasani X
Dunia ni Kijiji