who are you to judge?
Hongera Kamanda wetu, tupo pamoja
![]()
​safi sana nancy hata cc wa uk tuko pamoja lengo ni kuwatoa hawa ccm na kuirudisha nchi kwa wenyewe watanzania na si kwa wachache magamba.
wamechagua mwenyekiti au wamechagua miss wa huko?
Kwani kulikuwa hakuna wanaume mpaka mchague uzuri? Hiki chama kweli majanga.
Ukiona slaa yuko mahala lazima mwanamke mmoja au wawili waumie.
Wajameni kiukweli nimetokea tuu kumpenda huyu dada na nilipoiona hii picha!, nimempenda zaidi kutokana na jinsi anavyojichanganya na watu wa aina zote!. Ukimfikiria ni kiongozi wa Chadema, lakini hapa anampokea 1st Lady wa Tanzania kwa heshima zote kwa sababu huyu pia ndiye 1st Lady wa waTanzania wote wakiwemo wana Chadema!.
KaribuMzee paskal nowdayz hujawahi kuisemea mema CHADEMA !!
Mpo wangapi hapo?View attachment 63560
Kamanda Nancy Asenga achaguliwa kuwa mwenyekiti CHADEMA California. Tunampongeza na tupo nyuma yako. Peopleeeeeeeeeeeeees! Poweeeeeer!