Hata huku meatu tunampongeza kamanda kiongozi V Nyerere ila jakaya muache kumuita JK KWANI SI UKOO WA NYERERE
vicenti tunamuhitaji ktk chama cha baba yake mkubwa, tutatumia mbinu yoyote kabla ya 2015 awe zizini
Mna wazimu!!!!!!!!! Chama cha Baba mkubwa wake siyo hicho cha Magamba. Aliacha chama kizuri sasa kimebaki ni kilabu ya wahuni, wezi, wauaji, wazinzi, walaghai, walafi, na kila aina ya uchafu. Ashakum si matusi bakini na mfu wenu na mmzike wenyewe kamanda haji ng'o. Mnajidanganya mchana, ningekuwa jirani ningekupa ngumi ya uso mwizi mkubwa!!
Chama cha mapanya!Mna wazimu!!!!!!!!! Chama cha Baba mkubwa wake siyo hicho cha Magamba. Aliacha chama kizuri sasa kimebaki ni kilabu ya wahuni, wezi, wauaji, wazinzi, walaghai, walafi, na kila aina ya uchafu. Ashakum si matusi bakini na mfu wenu na mmzike wenyewe kamanda haji ng'o. Mnajidanganya mchana, ningekuwa jirani ningekupa ngumi ya uso mwizi mkubwa!!
Puuresha Inapanda inashuka....CCM....Puuresha inapanda inashuka.... Mafisadi.....Puuresha inapanda inashuka
CCM Presha inapanda inashuka - YouTube
Vicent Nyerere Akikata Ishu Bungeni cheki hapa:
Vicent Nyerere achagia hoja bungeni (Michuzi Blog) - YouTube
kwetu twamjua kwa jina la jembe! uliza ccm musoma watakwambia! sio maneno tu ni anatenda kazi yake vilivyo na ipaswavyo!
Vicent bado anayo kazi kubwa ya kufanya. Hapa majuzi-kati alituahidi sisi wakazi wa Mugumu (Serengeti) kwamba atakuwa Mbunge wetu maana Mbunge aliyepo atokanaye na Chama Cha Magamba yuko usingizini kama Wassira wa Bunda. Sasa ndugu mbona ulikwenda jumla? Kwa nini msirudi na wapiganaji wenzako mje tufungue matawi ya CDM kuanzia Machochwe, Ngarawani, Nyamoko, Runga'bure, Musati Kenyana, Mokibau, Majimoto, Busawe, Borenga, Bwitengi, Fort-Ikoma, Natta, Issenye na Mosongo? Njoonoi haraka Bwana tumalize kazi tusije kuwafananisha na hiki Chama Cha Magamba cha kina Chandi na Kebwe! Teh! Teh! Teh! Teh! Teh!:yo:
Mkuu kwa sasa Vicent amevuka u-jembe na sasa ni SURURU analima mpaka miamba.
Vicent bado anayo kazi kubwa ya kufanya. Hapa majuzi-kati alituahidi sisi wakazi wa Mugumu (Serengeti) kwamba atakuwa Mbunge wetu maana Mbunge aliyepo atokanaye na Chama Cha Magamba yuko usingizini kama Wassira wa Bunda. Sasa ndugu mbona ulikwenda jumla? Kwa nini msirudi na wapiganaji wenzako mje tufungue matawi ya CDM kuanzia Machochwe, Ngarawani, Nyamoko, Runga'bure, Musati Kenyana, Mokibau, Majimoto, Busawe, Borenga, Bwitengi, Fort-Ikoma, Natta, Issenye na Mosongo? Njoonoi haraka Bwana tumalize kazi tusije kuwafananisha na hiki Chama Cha Magamba cha kina Chandi na Kebwe! Teh! Teh! Teh! Teh! Teh!:yo:
Nyie ndo mna kazi kubwa zaidi kwa kosa la kuchagua uyo mbunge aliyelala.
Msirudie tena makosa.