Nakumbuka Nape aliingia kichwa kichwa akapewa za uso kuwa anafanyia kampeni Dar wakati uwanja ni Arumeru ni sawa na kuishi kwa matumaini Nape hakujibu.Alisema Nape na ccm yake wanaishi kwa (ARVs) yaani matumaini ya kutumia rushwa katika uchaguzi wa Arumeru.
Nakumbuka Nape aliingia kichwa kichwa akapewa za uso kuwa anafanyia kampeni Dar wakati uwanja ni Arumeru ni sawa na kuishi kwa matumaini Nape hakujibu.
Eti Lusinde alisema Kaptein Komba ni kamanda teh! teh! MANDONDOCHA WATIMULIWE!
huu ni ushindi dhidi ya mafisadi, kazi mnayo 2015, vijana ndio watakaoikomboa nchi hii lakini si vijana wa type ya lusinde
Pongezi za dhati zimwendee Kampeni manager wa chadema Arumeru mashariki ndugu Vincent Kiboko Nyerere kwa kazi nzuri! Mbinu zako hatimaye zimezaa matunda! Viva Chadema!
tofauti ya mzinzi na mchapa kaziKuna mdau mmoja alikuja hapa akiwashatumu cdm kutokuwa makini katika kuwatafuta campen managers, aje atupe ,atokeo yake au lawama zake
1. Kuwataka wananchi kuhudhuria mikutano ya CCM kusikiliza kama wana sera mpya miaka 50 baada ya uhuru.
2. kushikilia msimamo wa kuendesha siasa za kistaraabu pamoja na kuwa walitukanwa sana
3. kukubali kusitisha mashambulizi dhidi ya ***** BMW
hivi mkapa ninani vile,, nikiongozi wa band ya muziki au?! naomba mnijulishe.