Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Kwanza nitoe pole kwa wote walioguswa na vifo vya vijana wetu.
Zaidi nitoe pongezi kwa Uongozi, wakufunzi, wanachuo na jumuiya yote ya Chuo kikuu cha kilimo Sokoine Morogoro.
Kusafirisha maiti wawili kutoka Morogoro hadi Arusha kugharamia sanda, jeneza kutuma wawakilishi, bado mkatoa na fedha za rambirambi juu, hakika huu ni wema mkuu.
Vijana wetu tumewapumzisha wote leo hapa Karatu.
Mungu awabariki mno
Zaidi nitoe pongezi kwa Uongozi, wakufunzi, wanachuo na jumuiya yote ya Chuo kikuu cha kilimo Sokoine Morogoro.
Kusafirisha maiti wawili kutoka Morogoro hadi Arusha kugharamia sanda, jeneza kutuma wawakilishi, bado mkatoa na fedha za rambirambi juu, hakika huu ni wema mkuu.
Vijana wetu tumewapumzisha wote leo hapa Karatu.
Mungu awabariki mno