Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
JANGA LA KIFAIFA
Rais kikwete leo kazidua garage (karakana) ya ndege za precision katika viwanja vya J k nyerere kwa kukata utepe kuashilia uzinduzi
TAfakari picha kwa hisani ya @misupu
Wakati mwanaye ATCL yuko ICU hoi bin taabanJANGA LA KIFAIFARais kikwete leo kazidua garage (karakana) ya ndege za precision katika viwanja vya J k nyerere kwa kukata utepe kuashilia uzinduzi
TAfakari picha kwa hisani ya @misupu
Hivi ni lini tutapata Rais anaelewa kwamba mwanasiasa hatakiwi kukata utepe wa kuzindua mradi wa mtu?Mkuu hiz\o ndizo kazi jk alizobakiza.. Hapo hata ukimuuliza japoahadi 3 alizoeleza 2010, hakumbuki wala hajui nini cha kufanya... Unajua hao wazee wenye hiyo precission ndio walikuwa board of director wa kampuni ya ndege air tanzania.... So wameua shirika la umma wameanzisha la kwao.. Leo jk anachekelea tu bilashaka hata yeye anajua kilichortokea... Reli imekufa, ndege hatuna, viwanda hovyo, maendeleo ya jamii hovyo..., rushwa mtindo mmoja, gap kati ya walionacho na wasionacho linazidi kuongezeka.... Serikali ya jk... Najua haina cha kupoteza tena... Thats why awamu hii ni ya rushwa kwenda mbele tu.. Maamuzi yapo mikoni mwetu tz. Watz tuamke
Mwakyembe nachekelea precission
Jamani huyo wapembeni ni mwakyembe? Kweli kapauka,anaumwa bado huyu waziri me tu zamani alikuwa hivi!
unafikiria alipewa sumu ya panya kwamba ukimya maji unapona mara moja kitu kiko kwenye bone katikati ya mifupa..usikute anakufa taratibu na adui yake jana kasafishwa kuwa hahusiki na richmond..
JANGA LA KIFAIFARais kikwete leo kazidua garage (karakana) ya ndege za precision katika viwanja vya J k nyerere kwa kukata utepe kuashilia uzinduzi
TAfakari picha kwa hisani ya @misupu
Au kapiga super black kichwani nini mkuu?Kaka muda utasema.
Ila Mwaki amebadilika sana!
Hivi ni lini tutapata Rais anaelewa kwamba mwanasiasa hatakiwi kukata utepe wa kuzindua mradi wa mtu?
Hivi unaweza kusikia kwa mfano Obama kaenda kuzindua jengo la DELTA Airlines?
Hakuna mwanasiasa aliyewahi kupata exposure ya kusafiri katika historia ya Tanzania kama Kikwete, toka akiwa waziri mpaka Rais, lakini mbona mwenzetu hajifunzi mawili matatu kuhusu misingi ya utawala bora ya huko anakopenda kutembelea?
Mwakyembe nachekelea precission
Hivi ni lini tutapata Rais anaelewa kwamba mwanasiasa hatakiwi kukata utepe wa kuzindua mradi wa mtu?
Hivi unaweza kusikia kwa mfano Obama kaenda kuzindua jengo la DELTA Airlines?
Hakuna mwanasiasa aliyewahi kupata exposure ya kusafiri katika historia ya Tanzania kama Kikwete, toka akiwa waziri mpaka Rais, lakini mbona mwenzetu hajifunzi mawili matatu kuhusu misingi ya utawala bora ya huko anakopenda kutembelea?