Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Rais kaishiwa kweli huyu
Ndo cha kushangaza..kweli mr.Dhaifu!Wakati mwanaye ATCL yuko ICU hoi bin taaban
Hivi ni lini tutapata Rais anaelewa kwamba mwanasiasa hatakiwi kukata utepe wa kuzindua mradi wa mtu?
Hivi unaweza kusikia kwa mfano Obama kaenda kuzindua jengo la DELTA Airlines?
Hakuna mwanasiasa aliyewahi kupata exposure ya kusafiri katika historia ya Tanzania kama Kikwete, toka akiwa waziri mpaka Rais, lakini mbona mwenzetu hajifunzi mawili matatu kuhusu misingi ya utawala bora ya huko anakopenda kutembelea?