Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,497
113,592
Wanabodi,

Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amechukua fomu ya kuwania kinyang'anyiro cha Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Magufuli amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally, Makao Makuu ya CCM, Dodoma.

View attachment 1481048

Maendeleo hayana vyama!

Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi na kuona jinsi alivyoondoka na gari moja la number za kiraia, bila ving'ora wala msafara.

Kwavile sisi binadamu tunatofautiana observation powers, naomba na mimi nichangie nilichokiona kwenye uchukuaji wa fomu huo na kueleza kina maana gani kwa mustakabali mzuri na mwema wa siasa za nchi yetu kuelekea October 2020.
  1. Kwanza ni kule tuu kuonyeshwa live kupitia TBC tukio la rais Magufuli kuchukua fomu, ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima. Kuna msemo wa Kiswahili usemao, " nyota njema huonekana asubuhi" huku kuonyeshea live toka mwanzo is good for transparency.
  2. Uchaguzi huru na wa haki ni process inayohitaji maximum transparency, kwasababu rigging zote za uchaguzi huwezi kufanyika kutokana na lack of transparency, hivyo hii Transparency ni moja ya mambo muhimu sana yanayoufanya uchaguzi uwe huru na wa haki na matokeo kuwa credible na Kukubalika na wote. Mfano kura zote zinahesabiwa kituoni na matokeo ya kila kituo kubandikwa ubaoni transparently, if there is nothing to hide, kwanini vyama vizuiliwe kufanya independent tallying?!.
  3. Kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, TBC imetimiza wajibu wake wa uhabarishaji umma kikamilifu kwa kututangazia live tukio hili ili umma wa Watanzania tushuhudie kwa kuona kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu na sio kuambiwa au kuhadithiwa, kuona ni kuamini.
  4. Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma. Pia vyama vya upinzani jifunzeni kufanya siasa za kistaarabu kwa kushawishi kwa hoja kwa lugha za staha na sio kwa viroja, lugha za maudhi na kutukana
  5. Wito kwa TBC, kwanza hongereni kwa kazi nzuri, mlichokifanya leo ni mwanzo mzuri wa mchakato huu wa urais. Nawaomba mvitendee haki sawa vyama vyote vya siasa, msifanye upendeleo kwa chama kimoja na kuvibagua vingine, hivyo tunategemea kuona live za wagombea urais wa vyama vingine nao wakiwa coved na TBC
  6. Pia nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara na ving'ora, ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia. Hatutarajii kuendelea kuona vikao vya chama vikifanyikia Ikulu yetu!. Hongera sana rais Magufuli, kwa hili utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa sana kwasababu Mungu ni mtenda haki na anapenda kuona sio tuu haki itendeke bali haki itendeke na kuonekana imetendeka. Huwabariki sana watenda haki na huwalaani watenda maovu na kuwaadhibu wasio tenda haki!.
  7. Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
  8. Wito kwa Tume yetu ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, kwenye wagombea urais, nawaombeni mfuate mfumo wa nchi za Nordic na Scandinavian countries ambapo wagombea wote wa urais wanakuwa treated equally and the same. Kama kuna mgombea ana privileges za incumbent president, ikiwemo ving'ora, media, hizo privileges zote zinakuwa scraped down isipokuwa ulinzi, then wagombea wote wanapewa ulinzi. Kama kuna mgombea ana msafara wakiwemo state media, then wagombea wote wanapewa misafara, ulinzi, media na logistical support ili wote wafananie, na sio mgombea mmoja ndio anatumia state logistics kwa state cars kufungwa private number, kwasababu ni rais na wengine wote wapambane na hali zao.
  9. Kuwatendea haki sawa wagombea wote wa urais wa vyama vyote kutapelekea taifa letu kubarikiwa na kupata neema, baraka na ustawi.
  10. Kukipendelea chama kimoja au mgombea mmoja na kutowandea haki sawa wagombea wote wa vyama vyote kutapelekea Taifa kuchapwa na bakora za karma ya upendeleo na kutotenda haki kwa wote. Na viongozi wahusika kupata bakora za karma, individuals.
Nawatakia Jumatano Njema.

Paskali
 
Una hoja ya msingi Sana kwamba kuwe na mizani sawa kwa wagombea hata kama mmoja wao ni Rais aliye madarakani.

Ngoja wakati wa kampeni tutaona huo mzani kama utakuwa sawa au kuna upande utapata mbeleko ya dola au tume ya uchaguzi.
 
Wanabodi,

Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi.

Kwavile sisi binadamu tunatofautiana observation powers, naomba na mimi nichangie nilichokiona kwenye uchukuaji wa fomu huo na kueleza kina maana gani kwa mustakabali mzuri wa siasa za nchi yetu.

  1. Kwanza ni kule tuu kuonyeshwa live kupitia TBC tukio la rais Magufuli kuchukua fomu, ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima. Kuna msemo wa Kiswahili usemao, " nyota njema huonekana asubuhi" huku kuonyeshea live toka mwanzo is good for transparency.
  2. Uchaguzi huru na wa hivyo ni process inayohitaji maximum transparency, kwasababu rigging zote za uchaguzi huwezi kufanyika kutokana na lack of transparency, hivyo hii Transparency ni moja ya mambo muhimu sana yanayoufanya uchaguzi uwe huru na wa haki na matokeo kuwa credible na Kukubalika na wote.
  3. Kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, TBC imetimiza wajibu wake wa uhabarishaji umma kikamilifu kwa kututangazia live tukio hili ili umma wa Watanzania tushuhudie kwa kuona kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu na sio kuambiwa au kuhadithiwa, kuona ni kuamini.
  4. Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.
  5. Wito kwa TBC, kwanza hongereni kwa kazi nzuri, mlichokifanya leo ni mwanzo mzuri wa mchakato huu wa urais. Nawaomba mvitendee vyama vyote haki sawa, msifanye upendeleo kwa chama kimoja na kuvibagua vingine, hivyo tunategemea kuona live za wagombea urais wa vyama vingine nao wakiwa coved na TBC
  6. Pia nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara na ving'ora, ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia. Hongera sana rais Magufuli, kwa hili utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa.
  7. Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
  8. Wito kwa Tume yetu ya Uchaguzi, NEC, nawaombeni mfuate mfumo wa usawa wa wagombea urais wa Nordic countries na Scandinavian countries ambapo wagombea wote wa urais wanakuwa treated the same. Kama kuna mgombea ana ulinzi kwasababu yeye ni rais, then wagombea wote wanapewa ulinzi. Kama kuna mgombea ana msafara wakiwemo media, wagombea wote wanapewa misafara, media na logistical support ili wote pafananie, na sio mgombea mmoja ndio anatumia state logistics kwasababu ni rais na wengine wote wapambane na hali zao.
  9. Kuwatendea haki sawa wagombea wote wa urais wa vyama vyote kutapelekea taifa letu kubarikiwa na kupata neema, baraka na ustawi.
  10. Kukipendelea chama kimoja au mgombea mmoja na kutowandea haki sawa wagombea wote wa vyama vyote kutapelekea Taifa kuchapwa na bakora za karma ya upendeleo na kutotenda haki kwa wote.
Nawatakia Jumatano Njema.

P
Kama dunia ilivyomuelewa na sisi tutamuelewa tu!
 
Wanabodi,

Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi.

Kwavile sisi binadamu tunatofautiana observation powers, naomba na mimi nichangie nilichokiona kwenye uchukuaji wa fomu huo na kueleza kina maana gani kwa mustakabali mzuri wa siasa za nchi yetu.

  1. Kwanza ni kule tuu kuonyeshwa live kupitia TBC tukio la rais Magufuli kuchukua fomu, ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima. Kuna msemo wa Kiswahili usemao, " nyota njema huonekana asubuhi" huku kuonyeshea live toka mwanzo is good for transparency.
  2. Uchaguzi huru na wa hivyo ni process inayohitaji maximum transparency, kwasababu rigging zote za uchaguzi huwezi kufanyika kutokana na lack of transparency, hivyo hii Transparency ni moja ya mambo muhimu sana yanayoufanya uchaguzi uwe huru na wa haki na matokeo kuwa credible na Kukubalika na wote.
  3. Kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, TBC imetimiza wajibu wake wa uhabarishaji umma kikamilifu kwa kututangazia live tukio hili ili umma wa Watanzania tushuhudie kwa kuona kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu na sio kuambiwa au kuhadithiwa, kuona ni kuamini.
  4. Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.
  5. Wito kwa TBC, kwanza hongereni kwa kazi nzuri, mlichokifanya leo ni mwanzo mzuri wa mchakato huu wa urais. Nawaomba mvitendee vyama vyote haki sawa, msifanye upendeleo kwa chama kimoja na kuvibagua vingine, hivyo tunategemea kuona live za wagombea urais wa vyama vingine nao wakiwa coved na TBC
  6. Pia nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara na ving'ora, ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia. Hongera sana rais Magufuli, kwa hili utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa.
  7. Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
  8. Wito kwa Tume yetu ya Uchaguzi, NEC, nawaombeni mfuate mfumo wa usawa wa wagombea urais wa Nordic countries na Scandinavian countries ambapo wagombea wote wa urais wanakuwa treated the same. Kama kuna mgombea ana ulinzi kwasababu yeye ni rais, then wagombea wote wanapewa ulinzi. Kama kuna mgombea ana msafara wakiwemo media, wagombea wote wanapewa misafara, media na logistical support ili wote pafananie, na sio mgombea mmoja ndio anatumia state logistics kwasababu ni rais na wengine wote wapambane na hali zao.
  9. Kuwatendea haki sawa wagombea wote wa urais wa vyama vyote kutapelekea taifa letu kubarikiwa na kupata neema, baraka na ustawi.
  10. Kukipendelea chama kimoja au mgombea mmoja na kutowandea haki sawa wagombea wote wa vyama vyote kutapelekea Taifa kuchapwa na bakora za karma ya upendeleo na kutotenda haki kwa wote.
Nawatakia Jumatano Njema.

P
Mbona hao TBC hawajaonesha mwenyekiti Mbowe akienda kuchukua fomu
 
Wanabodi,

Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi.

Kwavile sisi binadamu tunatofautiana observation powers, naomba na mimi nichangie nilichokiona kwenye uchukuaji wa fomu huo na kueleza kina maana gani kwa mustakabali mzuri wa siasa za nchi yetu.

  1. Kwanza ni kule tuu kuonyeshwa live kupitia TBC tukio la rais Magufuli kuchukua fomu, ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima. Kuna msemo wa Kiswahili usemao, " nyota njema huonekana asubuhi" huku kuonyeshea live toka mwanzo is good for transparency.
  2. Uchaguzi huru na wa hivyo ni process inayohitaji maximum transparency, kwasababu rigging zote za uchaguzi huwezi kufanyika kutokana na lack of transparency, hivyo hii Transparency ni moja ya mambo muhimu sana yanayoufanya uchaguzi uwe huru na wa haki na matokeo kuwa credible na Kukubalika na wote.
  3. Kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, TBC imetimiza wajibu wake wa uhabarishaji umma kikamilifu kwa kututangazia live tukio hili ili umma wa Watanzania tushuhudie kwa kuona kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu na sio kuambiwa au kuhadithiwa, kuona ni kuamini.
  4. Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.
  5. Wito kwa TBC, kwanza hongereni kwa kazi nzuri, mlichokifanya leo ni mwanzo mzuri wa mchakato huu wa urais. Nawaomba mvitendee vyama vyote haki sawa, msifanye upendeleo kwa chama kimoja na kuvibagua vingine, hivyo tunategemea kuona live za wagombea urais wa vyama vingine nao wakiwa coved na TBC
  6. Pia nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara na ving'ora, ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia. Hongera sana rais Magufuli, kwa hili utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa.
  7. Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
  8. Wito kwa Tume yetu ya Uchaguzi, NEC, nawaombeni mfuate mfumo wa usawa wa wagombea urais wa Nordic countries na Scandinavian countries ambapo wagombea wote wa urais wanakuwa treated the same. Kama kuna mgombea ana ulinzi kwasababu yeye ni rais, then wagombea wote wanapewa ulinzi. Kama kuna mgombea ana msafara wakiwemo media, wagombea wote wanapewa misafara, media na logistical support ili wote pafananie, na sio mgombea mmoja ndio anatumia state logistics kwasababu ni rais na wengine wote wapambane na hali zao.
  9. Kuwatendea haki sawa wagombea wote wa urais wa vyama vyote kutapelekea taifa letu kubarikiwa na kupata neema, baraka na ustawi.
  10. Kukipendelea chama kimoja au mgombea mmoja na kutowandea haki sawa wagombea wote wa vyama vyote kutapelekea Taifa kuchapwa na bakora za karma ya upendeleo na kutotenda haki kwa wote.
Nawatakia Jumatano Njema.

P
Hivi Jana Magufuli alikuwa anahutubia bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania au alikuwa anahutubia mkutano mkuu wa ccm? Na je yeye alisimama kama rais,mwenyekiti wa ccm au alisimama na kofia zake zote mbili?
 
Wanabodi,

Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi.

Kwavile sisi binadamu tunatofautiana observation powers, naomba na mimi nichangie nilichokiona kwenye uchukuaji wa fomu huo na kueleza kina maana gani kwa mustakabali mzuri wa siasa za nchi yetu.

  1. Kwanza ni kule tuu kuonyeshwa live kupitia TBC tukio la rais Magufuli kuchukua fomu, ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima. Kuna msemo wa Kiswahili usemao, " nyota njema huonekana asubuhi" huku kuonyeshea live toka mwanzo is good for transparency.
  2. Uchaguzi huru na wa hivyo ni process inayohitaji maximum transparency, kwasababu rigging zote za uchaguzi huwezi kufanyika kutokana na lack of transparency, hivyo hii Transparency ni moja ya mambo muhimu sana yanayoufanya uchaguzi uwe huru na wa haki na matokeo kuwa credible na Kukubalika na wote.
  3. Kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, TBC imetimiza wajibu wake wa uhabarishaji umma kikamilifu kwa kututangazia live tukio hili ili umma wa Watanzania tushuhudie kwa kuona kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu na sio kuambiwa au kuhadithiwa, kuona ni kuamini.
  4. Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.
  5. Wito kwa TBC, kwanza hongereni kwa kazi nzuri, mlichokifanya leo ni mwanzo mzuri wa mchakato huu wa urais. Nawaomba mvitendee vyama vyote haki sawa, msifanye upendeleo kwa chama kimoja na kuvibagua vingine, hivyo tunategemea kuona live za wagombea urais wa vyama vingine nao wakiwa coved na TBC
  6. Pia nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara na ving'ora, ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia. Hongera sana rais Magufuli, kwa hili utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa.
  7. Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
  8. Wito kwa Tume yetu ya Uchaguzi, NEC, nawaombeni mfuate mfumo wa usawa wa wagombea urais wa Nordic countries na Scandinavian countries ambapo wagombea wote wa urais wanakuwa treated the same. Kama kuna mgombea ana ulinzi kwasababu yeye ni rais, then wagombea wote wanapewa ulinzi. Kama kuna mgombea ana msafara wakiwemo media, wagombea wote wanapewa misafara, media na logistical support ili wote pafananie, na sio mgombea mmoja ndio anatumia state logistics kwasababu ni rais na wengine wote wapambane na hali zao.
  9. Kuwatendea haki sawa wagombea wote wa urais wa vyama vyote kutapelekea taifa letu kubarikiwa na kupata neema, baraka na ustawi.
  10. Kukipendelea chama kimoja au mgombea mmoja na kutowandea haki sawa wagombea wote wa vyama vyote kutapelekea Taifa kuchapwa na bakora za karma ya upendeleo na kutotenda haki kwa wote.
Nawatakia Jumatano Njema.

P
Gari moja!!!
Mpiga picha alikaa wapi?
Walinzi wa rais walikaa wapi?

Kweli hongera nawakati vikao vya ccm vinafanyika ikulu!!!!! Huko ni kutenganisha?
Kiuhalisia kwa Rais shughuli binafsi zilipaswa zisiwe hata hizo za uccm
Utransparency huwezi kuupata tz wala afrika
Utransparency unatoka kwenye sheria na kanuni na si zawadi au hisani uwe unaomba hapa
Uwazi wa uchaguzi unaanza na Tume bora ya uchaguzi maana ukisema huru nitaambiwa ipo pamoja na msajili makini

Ukiistudy Canada na tume yao uchaguzi hasa nyakati za uchaguzi suala la vyombo vya habari vinakuwa regulated na officer wa tume ambaye anapanga time sawasawa kwa wote

Free and fair election means fair in every thing si mmoja anarushwa mwingine harushwi
Mmoja anawalinzi 70 mwingine 10 ambao ni wa umma
Mmoja analala ikulu mwingine analala hotel
Mmoja ni commander inchief mmoja ni raia wa kawaida
Mmoja chama kinatumia bajeti isiyokuwa kwenye hesabu mwingine anatomia yenye hesabu
Mmoja anakula chakula cha serikali mwingine anakula chenye tozo
Nec yetu wanajua haki ni kwenye kupanga mikutano ya kampeni tu
Mwingine anaingia chumba cha majumuisho 15 hawa wanaingia wawili au watatu
Hawa wanatoa rushwa wale wanabembeleza
Fair utaiona wapi?

Fair hasa kwenye mpira tunaitazamaje ukilinganisha na huku?
Kila ntu refa yuko sawa hakuna kuoneana, faulo, offsides au mmoja ashangilie mwingine hasishangile hawa waingie 11 wale waingie 12 au kocha huyu azunguke uwanja mzima mwingine abaki eneo halafu wafute haki ya kukata rufaa au kufungua shauri mahakama ya michezo
Huu kwetu huku ni utoto na ufala wala sio free na fair

Hiyo transparency endelea kuiomba wengine wanatumia connections tu kuziba
 
Jambo la hatari sana kumuachia Rais wetu akitembea dodoma bila sweeper,dodoma ni kama kigali hakuna ring roads,magari yote yanakutana katikati ya jini iwe lori au dala dala,wasaidizi wa Rais msirudie tena huu mchezo Rais anapishana na vipanya kisa tusionekane tunatumia rasilimali za serikali?
 
Jambo la hatari sana kumuachia Rais wetu akitembea dodoma bila sweeper,dodoma ni kama kigali hakuna ring roads,magari yote yanakutana katikati ya jini iwe lori au dala dala,wasaidizi wa Rais msirudie tena huu mchezo Rais anapishana na vipanya kisa tusionekane tunatumia rasilimali za serikali?
Nilitaka kusema kitu Ila acha niache
 
Huwezi kuwa kiongozi wa nchi halafu unatetea maslahi tena ya wachache Magali
Hiyo haiingii akilini wala mwilini
Rais halafu ni president wa kampuni kubwa ya Magufuli group of companies limited(MGCL)

Chizi tu ndiye ataelewa kweli rais wetu ni firm, impartial, humble and ethusiatic man
Hivi Jana Magufuli alikuwa anahutubia bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania au alikuwa anahutubia mkutano mkuu wa ccm? Na je yeye alisimama kama rais,mwenyekiti wa ccm au alisimama na kofia zake zote mbili?
 
Duuh.........

Alikuwa na gari moja wakati njia nzima walijaa askari wa usalam barabarani na magari ya raia yakawekwa foleni.
Ipo siku ameniweka pale Mbezi masaa mawili na siku hiyo ilikuwa siku ya mwisho kufanya return ya hisabu TRA kutokana na mipango mingi niliyokuwa nimeipanga siku hiyo na hakuna ambayo ningeweza kuivunja nikajisemea nitaenda kuwaeleza kesho sababu zangu za kutokuja kwa wakati amini usiamini nikaishia kupigwa na cheti cha faini.

Huyu jamaa ni uteuzi tu anatafuta hana lingine,msafara wa Magufuli ni balaa hizo gari plus pikipiki!!!
 
Wanabodi,

Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi.

Kwavile sisi binadamu tunatofautiana observation powers, naomba na mimi nichangie nilichokiona kwenye uchukuaji wa fomu huo na kueleza kina maana gani kwa mustakabali mzuri wa siasa za nchi yetu.

  1. Kwanza ni kule tuu kuonyeshwa live kupitia TBC tukio la rais Magufuli kuchukua fomu, ni kitu kizuri kwa kuonyeshea transparency ya zoezi hili zima. Kuna msemo wa Kiswahili usemao, " nyota njema huonekana asubuhi" huku kuonyeshea live toka mwanzo is good for transparency.
  2. Uchaguzi huru na wa haki ni process inayohitaji maximum transparency, kwasababu rigging zote za uchaguzi huwezi kufanyika kutokana na lack of transparency, hivyo hii Transparency ni moja ya mambo muhimu sana yanayoufanya uchaguzi uwe huru na wa haki na matokeo kuwa credible na Kukubalika na wote. Mfano kura zote zinahesabiwa kituoni na matokeo ya kila kituo kubandikwa ubaoni transparently, if there is nothing to hide, kwanini vyama vizuiliwe kufanya independent tallying?!.
  3. Kwa vile TBC ni public broadcasting station yaani TV ya umma, TBC imetimiza wajibu wake wa uhabarishaji umma kikamilifu kwa kututangazia live tukio hili ili umma wa Watanzania tushuhudie kwa kuona kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu na sio kuambiwa au kuhadithiwa, kuona ni kuamini.
  4. Natoa wito kwa vyama vyote vya siasa vitakavyo simamisha wagombea urais, kutoa ushirikiano kwa TBC ili TBC iwatangazie live Watanzania wagombea wao na kuwapa fursa Watanzania kuwaona wagombea wote wakipewa haki sawa kwenye vyombo vya habari vya umma.
  5. Wito kwa TBC, kwanza hongereni kwa kazi nzuri, mlichokifanya leo ni mwanzo mzuri wa mchakato huu wa urais. Nawaomba mvitendee vyama vyote haki sawa, msifanye upendeleo kwa chama kimoja na kuvibagua vingine, hivyo tunategemea kuona live za wagombea urais wa vyama vingine nao wakiwa coved na TBC
  6. Pia nimemnote rais Magufuli akitumia usafiri wa gari lenye number binafsi. This is very good thing kwasababu rais Magufuli ametenganisha shughuli za chama na shughuli za serikali. Rais Magufuli hakutumia gari za serikali, wala hakutembea na msafara na ving'ora, ikiwemo battalion, rais Magufuli ametumia gari moja tuu yenye number za kiraia. Hatutarajii kuendelea kuona vikao vya chama vikifanyikia Ikulu yetu!. Hongera sana rais Magufuli, kwa hili utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa sana kwasababu Mungu ni mtenda haki na anapenda haki, huwabariki watenda haki na kuwaadhibu wasio tenda haki!.
  7. Hatua hii ni hatua yenye essence kubwa sana kwenye mustakabali wa usawa wa kidemokrasia na usawa wa uwanja wa mapambano kujenga uwanja sawa, the level playing field, hivyo ni hatua muhimu kuifuta ile dhana ya kugombea urais Tanzania kufananishwa na kugombea kisu cha makali kuwili huku mgombea mmoja ameshika mpini na kuwashikisha wapinzani wake upande wa makali kuwili
  8. Wito kwa Tume yetu ya Uchaguzi, NEC, nawaombeni mfuate mfumo wa usawa wa wagombea urais wa Nordic countries na Scandinavian countries ambapo wagombea wote wa urais wanakuwa treated the same. Kama kuna mgombea ana ulinzi kwasababu yeye ni rais, then wagombea wote wanapewa ulinzi. Kama kuna mgombea ana msafara wakiwemo media, wagombea wote wanapewa misafara, media na logistical support ili wote pafananie, na sio mgombea mmoja ndio anatumia state logistics kwasababu ni rais na wengine wote wapambane na hali zao.
  9. Kuwatendea haki sawa wagombea wote wa urais wa vyama vyote kutapelekea taifa letu kubarikiwa na kupata neema, baraka na ustawi.
  10. Kukipendelea chama kimoja au mgombea mmoja na kutowandea haki sawa wagombea wote wa vyama vyote kutapelekea Taifa kuchapwa na bakora za karma ya upendeleo na kutotenda haki kwa wote.
Nawatakia Jumatano Njema.

P
Ungekuwa ndugu yangu,ningekupiga marufuku kufika kwangu
 
Back
Top Bottom