Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,101
- 128,716
- Thread starter
- #81
Duh...!. Kumbe ni wewe...!.Wengine karma haiwashugulikiagi
P
Duh...!. Kumbe ni wewe...!.Wengine karma haiwashugulikiagi
MkuuDuh...!.
P
Mkuu come down......!!!!Usipofungua..., inafunguliwa...!.
P
Wanabodi,
Bandiko hili ni kufuatia hoja ya mwana jf huyu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, kwanza asante kwa bandiko hili.
Mimi ni miongoni mwa tuliyemuona live kupitia TBC rais Magufuli akichukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM katika ofisi Kuu ya CCM Makao Makuu Dodoma leo asubuhi na kuona jinsi alivyoondoka na gari moja la number za kiraia, bila ving'ora wala msafara.
Nawatakia Jumatano Njema.
Paskali
Mkuu Daisam ,naunga mkono hoja na bandiko hili ni uthibitisho wa hili.Nimeamini bila shaka kwamba JPM alikuwa moto wa kuotea mbali.
Nilichogundua ni kwamba, JPM alikuwa ni MOTO wa Nyuklia.
Shida iliyopo sasa ni kwamba, wote waliotofautiana na JPM bado wanamwogopa hata kama amezikwa.
Mbaya zaidi, hata baadhi ya waliopo madarakani bado wanamwogopa, hivyo wanashindwa kujiamini.
Atukuzwe Mungu aliyetuletea JPM ili atuoneshe njia ya kweli.